Benjamin Rusungu wa mambo jambo apata ajari

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Msanii na producer al-maarufu kama benja wa mambo jambo kuna tetesi amepata ajali

Sos:EA Radio lakin bado haijathibitishwa

NB:kama amepata ajali leo,hii itakua ya pili ndani ya wiki hii,mara ya mwisho alipata mwishon mwa january 2012 alidondoka na gari mtaroni akachanika kidole na kama hii ya pili ina maana anaendesha gari bila kua na uzoefu au uzembe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…