Watu wengine huwa mnashindwa kutumia akili za kawaida..Nenda kwenye intanet tafuta namba yao wapigie simu usijetafuta majibu hapa tuna-discuss vitu vya msingi.
Hivi humu JF ni maruku kutumia majina halisi? Maana kila mtu anatumia jina la uongo, mnaficha nini?
[B said:Tekenya[/B];3108123]haya sishangai maana jina lako linatosha kunipa picha ya jinsi ulivyo