Benki gani hawana mlolongo kwenye kukopa kwa kutumia hati ya nyumba?

Rufaro

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2022
Posts
222
Reaction score
342
Wakuu

Naomba tushirikishane ni benki gani nchini ambayo haina msururu wa mambo mengi katika kukopa kwa kutumia hati ya nyumba.

Asanteni.
 

Kwahio hazipo sababu hizo njia hawataziweza kuzifanya au ndio sijaelewa , mana naona hizo njia ulizozitaja nilitegemea au nategemea kwamba ndio kazi ya benki kitengo cha mikopo wanatakiwa kufanya, na mimi kama mteja au mteja mwingine yoyote huwezi kua na hati jina tu au hati karatasi tu ilihali lazima uwe na tangible evidence.
 
USHAUR wangu,

Nenda NMB, ila hakikisha una Biashara iliyosajiliwa na kutambulika serikalini (tra,MANISPAA n.k)

Na umejikamilisha Kama alivyosema hapo juu bwana Mshana Jr

Suala la hati Sikuhizi sio Lazima Sana,
Mashahidi wa pande nne za nyumba yako na viongoz wako wa serikali ya mtaa kuthibitisha kweli nyumba ni mali yako
 
Kibonho bongo hii haipo
Neno "bongo" linatumika kwa sasa kama sehem ambayo mambo yanafanyika old school na most hayaendi , na yakienda ujue unafanya illegal business au kua thief politician.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…