Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniMe sijui
Shukrani ChiefJapan wapo masaa 6 mbele ukituma T/T leo kesho yake tu inakua imesha reflect
Nimefanikiwa MkuuJapan wapo masaa 6 mbele ukituma T/T leo kesho yake tu inakua imesha reflect
Hongera, ila kwa hii Corona mzigo utafika December 2nd week uwe na uvumilivuNimefanikiwa Mkuu
Safi mkuu ulipiga picha ile T/T maana watuambia uconfirm kwamba umetuma..?Nimefanikiwa Mkuu
Corona inahusika vipi na mzigo kutumwa?Safi mkuu ulipiga picha ile T/T maana watuambia uconfirm kwamba umetuma..?
Safi nadhani novemba au disemba chuma kitakua bongo tayariYap ile TT nilipiga picha nita-upload kwenye system yao
I can't wait to ride my 2007 Jeep Grand Cherokee.Safi nadhani novemba au disemba chuma kitakua bongo tayari
Huyo mnyama ni mkali sana...4.0CC ? Mimi nazipenda za kuanzia 2011 aisee hio nyeusi nadhani ndo model yako mzeeI can't wait to ride my 2007 Jeep Grand Cherokee.
Yap Mkuu. Nilipanga Kama kununua Ni February 2021 Sasa majuzi nimeingia mtandaoni naona discount kubwa 6,000USD (CIF) wakati mwanzoni ilikuwa 8,900USD (CIF) nikavimba nao wakashusha mpaka 5,400USD (CIF) nikailipia fasta.Huyo mnyama ni mkali sana...4.0CC ? Mimi nazipenda za kuanzia 2011 aisee hio nyeusi nadhani ndo model yako mzee
Wapo bongo? Nataka Muziki wa maanaKwa rim kali usisite kuwacheki jamaa wanajiita carid.com
Ila asije uziwa skrepaSafi nadhani novemba au disemba chuma kitakua bongo tayari
Hapana hawa ni USA mziki agiza ali expressWapo bongo? Nataka Muziki wa maana
Bila shaka hawa watakua ni beforward hapo TRA wanakusubiria kwa CIF ya 4452+ 12m ushuru...kwa CIF yako ya 5400 itazidi kidogoYap Mkuu. Nilipanga Kama kununua Ni February 2021 Sasa majuzi nimeingia mtandaoni naona discount kubwa 6,000USD (CIF) wakati mwanzoni ilikuwa 8,900USD (CIF) nikavimba nao wakashusha mpaka 5,400USD (CIF) nikailipia fasta.
Nilicheki kwenye calculator Yao watanichanja za kutosha ila nimejizatiti kwa back-up ya SakosBila shaka hawa watakua ni beforward hapo TRA wanakusubiria kwa CIF ya 4452+ 12m ushuru...kwa CIF yako ya 5400 itazidi kidogo