Maana teyali mshahara unapita kwenye Bank yao it means wao watakata huko huko haina haja tena ya kusambaza hizi taarifa za mteja
Kuna ofisi nyingine zinatoa mokopo kwa wafanyakazi wake na wanapenda waone wafanyakazi wanachukua mikopo ofisini hapo sas huoni kama kuna kizuizi anaweza akapata huyu mtu katika kuchukua mkopo??
Sent using
Jamii Forums mobile app
naomba nichangie kidogo kwa ufahamu wangu kuhusu salary loan huwa inakuwa hivi lazima kuwe na makubaliano ya kimtaba kati ya bank husika na kampuni yani kampuni iwe kama mzamini unaweza ukakuta mishahara yenu inapitia NBC ila kampuni yenu haina makubaliano ya kimtaba ya kuwakopesha wafanyakazi wa kampuni yenu ilo la kwanza na kwa hali hii mara nyingi kampuni kubwa huwa zinakopesha wafanyakazi wake wao wenyewe bila kutegemea bank na huwa inakuwa bila riba na inakuwa ni mara 3 ya gross salary sasa ukionekana unataka kukopa bank na wao wanatoa mkopo iyo ni changamoto na pia kwa mujibu wa salary loan hakuna njia ambayo utafanya ukakopa na muajiri wako asijue au kusiwe na makubaliano ya kimtaba kati ya bank yako na kampuni
ila kama anafanya kazi serikalini inakuwa taratibu zake ni tofauti kidogo