Benki inayotoa Mikopo kwa masharti nafuu Bongo


Hiyo hapo juu ni kweli kabisa..............yaani inauma mpaka basi..............maskini anazidi kunyongwa tu.................shida ni kitu mbaya sana aisee............


asante kw amaelezo yako mazuri................however, interest rate ikisha kuwa zaidi ya 10%.............kubali tu kuwa umeliwa..............
 
Siku zote mikopo inaleta umaskini, ni asilimia ndogo sana wanaweza kuinuka kwa kukopa, na hao ni wale waliojisimamisha kibishara wanakuza mtaji tu, ndio mana watu wanaoishi on credit wanapata shida, ni bora uende na saving ukijibana kuishi na kutumia chini ya uwezo wako,
 
mimi nafikiri nmb na akiba wapo chini zaidi nmb riba yao ipo chini ila mabenki mengi ni usanii ata access bank riba yao ipo juu na kuna kaukiritimba fulani kwenye kufwatilia lazima kitukidogo jambo mabango kibao kuhusu kutokutoa kitu kidogo ukigoma utaona kila siku dokument zako zinakuwa azijakamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…