Benki itoayo mkopo kwa masharti nafuu

Sungurampole

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2007
Posts
984
Reaction score
205
Kila kukicha Tanzania kunaanzishwa benki mpya na mengi ya haya mabenki yanajinadi kuwa wanatoa mikopo. Naamini ni muhimu kufanya hesabu kuona kama kweli masharti yao haswa riba na dhamani ni nzuri kama inavyoelezwa.

Kama yuko mwanajf aliyejaribu kufanya kautafiti kuona ni benki ipi nzuri kwenye eneo hili la mikopo?
Naangazia mikopo ya aina mbili:
· Ile ya kibiashara(kati ya 5m/= na 30m/=)

· Ile ya wafanyakazi (bila dhamana ya mwajiri)

Nawasilisha ombi
 
Mkuu kuna uzi humu wa Dark City umechamgua sana hili suala, ni bora ukautafuta unaweza kupata pa kuanzia
 
Mkuu kuna uzi humu wa Dark City umechamgua sana hili suala, ni bora ukautafuta unaweza kupata pa kuanzia

Mkuu nashukuru kwa ushauri nausaka uzi huu- ukiwahi kuupata niupie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…