Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Benki Kuu ina habari kama kuna Ponzi Schemes hapa Tanzania?
Watanzania wanawekeza kwa wingi, wanaweka matumaini yao yote hapo, na wanaacha hata kazi za uzalishaji kwa matumaini ya Ponzi schemes kama za DECI.
Je DECI ina uhalali Tanzania? Je Ponzi Scheme zinakubalika Tanzania? Lakini hatuwezi kujifunza kwa matukio ya huko kwa wenzetu?
Wana JF maoni yenu.
Watanzania wanawekeza kwa wingi, wanaweka matumaini yao yote hapo, na wanaacha hata kazi za uzalishaji kwa matumaini ya Ponzi schemes kama za DECI.
Je DECI ina uhalali Tanzania? Je Ponzi Scheme zinakubalika Tanzania? Lakini hatuwezi kujifunza kwa matukio ya huko kwa wenzetu?
Wana JF maoni yenu.