Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Benki Kuu ina habari kama kuna Ponzi Schemes hapa Tanzania?
Watanzania wanawekeza kwa wingi, wanaweka matumaini yao yote hapo, na wanaacha hata kazi za uzalishaji kwa matumaini ya Ponzi schemes kama za DECI.
Je DECI ina uhalali Tanzania? Je Ponzi Scheme zinakubalika Tanzania? Lakini hatuwezi kujifunza kwa matukio ya huko kwa wenzetu?
Wana JF maoni yenu.
kuna makampuni mengi ambayo yameliza kuanzia wafanyabiashara na hata wafanyakazi. EASY FINANCE, BAY PORT N.K MENGINE HUTOZA RIBA HATA 600%
Lakini yote haya hayaonekani isipokuwa DECI ambayo till now NO COMPLAIN from its members....!
Sisi tulio nje na DECI (other financial institutions) ndo hasa tunaolalamika kwani DECI ameonekana ni ''ASIYEPIGIKA'' na hizi sekta nyingine za kifedha, sasa wana hofu ya kukimbiwa na MEMBAZ WAO....!
Benki Kuu ina habari kama kuna Ponzi Schemes hapa Tanzania?
Watanzania wanawekeza kwa wingi, wanaweka matumaini yao yote hapo, na wanaacha hata kazi za uzalishaji kwa matumaini ya Ponzi schemes kama za DECI.
Je DECI ina uhalali Tanzania? Je Ponzi Scheme zinakubalika Tanzania? Lakini hatuwezi kujifunza kwa matukio ya huko kwa wenzetu?
Wana JF maoni yenu.
DECI.......!
PEOPLE GET MONEY EASILY....!
ASK FOR DECI AND JOIN DECI.....!
kuna makampuni mengi ambayo yameliza kuanzia wafanyabiashara na hata wafanyakazi. EASY FINANCE, BAY PORT N.K MENGINE HUTOZA RIBA HATA 600%
Lakini yote haya hayaonekani isipokuwa DECI ambayo till now NO COMPLAIN from its members....!
Sisi tulio nje na DECI (other financial institutions) ndo hasa tunaolalamika kwani DECI ameonekana ni ''ASIYEPIGIKA'' na hizi sekta nyingine za kifedha, sasa wana hofu ya kukimbiwa na MEMBAZ WAO....!
NINYI SEKTA NYINGINE ZA KIFEDHA RIBA ZENU ZIKO JUU, DHAMANA ZISIZOWEZEKANA KWA KCC, MASHARTI MAGUMU, NA UKIRITIMBA ULIOKITHIRI na hata atakaye mkopo kwenu maofisa wenu hutaka kitu kidogo katika mikopo tunayohitaji ....!
waacheni DECI wazidi kuwapoka wateja wenu kwani mmeshindwa ku-meet teir needs....!