Benki na makampuni ya simu yajipanga kutumia Akili Mnemba (AI) kuchakata maombi ya mikopo

Benki na makampuni ya simu yajipanga kutumia Akili Mnemba (AI) kuchakata maombi ya mikopo

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Tausi Afrika Yazindua Mfumo wa Kiotomatiki wa Uchambuzi wa Kifedha kwa Kutumia Akili Bandia

Kampuni ya Tausi Afrika imeleta mfumo mpya wa uchambuzi wa kifedha uitwao MANKA, ambao unatumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kusaidia taasisi za mikopo.

Mfumo huu unawawezesha watoa mikopo kuchambua taarifa za kifedha kutoka benki na simu kwa haraka, na hivyo kupunguza muda wa tathmini za mikopo.

Soma pia:
Kampuni ya Noble Helium yachagua maeneo matatu ya kwanza ya kuchimba kwenye Mradi wake wa North Rukwa

MANKA umelenga kutoa suluhisho la haraka na sahihi kwa taasisi za kifedha, kurahisisha maamuzi ya kifedha kwa kutumia data kamili na ya kuaminika kwa muda mfupi.

 
Back
Top Bottom