Benki nzuri kwa masuala ya Mastercard payments and refunds

Benki nzuri kwa masuala ya Mastercard payments and refunds

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba.

By the way CVV namba inayokaa nyumba ya kadi zao nayo siielewi imeandikwa kama inataka kufutika yani.

Sasa najua humu kuna watu wana fanya online payments, naombeni mnishauri mnatumia benki gani?

Kuna rafiki yangu hapa mtaani alinishauri kuhusu Equity, lakini naskia Equity wana tatizo la refund, wanachelewesha sana.

CRDB siitaki, MAKATO YAO YANATISHA SANA, Nilikuwa kuwa mteja wao nikawahama.

Natanguliza shukrani.
 
Nenda banc ABC watakutengenezea chini ya dakika 5 utakua ushapata kadi yako
 
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba..i.
Bank ABC, ila mimi natumiaga hata voda and airtel master card pia. Ila bank abc wana hadi card ambazo hazina account unaweka pesa via mpesa unafanya manunuzi unayotaka
 
Bank ABC, ila mimi natumiaga hata voda and airtel master card pia. Ila bank abc wana hadi card ambazo hazina account unaweka pesa via mpesa unafanya manunuzi unayotaka
Unaweza kuweka pia USD, GBP, EUR, nililipia PayPal kwa BeForward chuma kipo majini. Xmas hii naingia kijijini na ndinga (private)
 

Attachments

  • 2418232_BH163627_147967.jpeg
    2418232_BH163627_147967.jpeg
    31.9 KB · Views: 24
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba...
Mpaka sasa equity kwangu better
 
Unaweza kuweka pia USD, GBP, EUR, nililipia PayPal kwa BeForward chuma kipo majini. Xmas hii naingia kijijini na ndinga (private)
Bank ABC utachagua kadi unayotaka otherwise kama kadi ni tshs conversion itafanyika wakati wa malipo. Hongera sana Mkuu kwa kujiongeza.
 
Unaweza kuweka pia USD, GBP, EUR, nililipia PayPal kwa BeForward chuma kipo majini. Xmas hii naingia kijijini na ndinga (private)
Ila malipo kwa kutumia card hizo exchange rate hua ni 2430tsh kwa dola moja
 
Ila malipo kwa kutumia card hizo exchange rate hua ni 2430tsh kwa dola moja
Sasa wewe unaona hatari? Unamiliki USD bado unahofiwa gharama, Kama bado mnyonge Rudi benki yetu pendwa
 
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba.

By the way CVV namba inayokaa nyumba ya kadi zao nayo siielewi imeandikwa kama inataka kufutika yani.

Sasa najua humu kuna watu wana fanya online payments, naombeni mnishauri mnatumia benki gani?

Kuna rafiki yangu hapa mtaani alinishauri kuhusu Equity, lakini naskia Equity wana tatizo la refund, wanachelewesha sana.

CRDB siitaki, MAKATO YAO YANATISHA SANA, Nilikuwa kuwa mteja wao nikawahama.

Natanguliza shukrani.
Stanbic wako vizuri sana.ila now wanazingua zingua cheki bankABC au fnb.crdb na nmb lao moja makato kama yote
 
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba.

By the way CVV namba inayokaa nyumba ya kadi zao nayo siielewi imeandikwa kama inataka kufutika yani.

Sasa najua humu kuna watu wana fanya online payments, naombeni mnishauri mnatumia benki gani?

Kuna rafiki yangu hapa mtaani alinishauri kuhusu Equity, lakini naskia Equity wana tatizo la refund, wanachelewesha sana.

CRDB siitaki, MAKATO YAO YANATISHA SANA, Nilikuwa kuwa mteja wao nikawahama.

Natanguliza shukrani.
Stanbic wako vizuri sana.ila now wanazingua zingua cheki bankABC au fnb.crdb na nmb lao moja makato kama yote
 
Napenda nianze kufanya manunuzi mitandaoni lakini NMB wamenikwamisha. Mimi ni mteja wa NMB lakini kadi zao za mastercard, hazina hiyo functionality naweza kusema. Nishajaza form yao wiki iliyopita ya kuniwezesha kununua mtandaoni (achana na form ya kulata Mastercard) lakini nikienda kujaribu kufanya payments inanigomea KABISA, sio Ebay, Amazon wala Alibaba.

By the way CVV namba inayokaa nyumba ya kadi zao nayo siielewi imeandikwa kama inataka kufutika yani.

Sasa najua humu kuna watu wana fanya online payments, naombeni mnishauri mnatumia benki gani?

Kuna rafiki yangu hapa mtaani alinishauri kuhusu Equity, lakini naskia Equity wana tatizo la refund, wanachelewesha sana.

CRDB siitaki, MAKATO YAO YANATISHA SANA, Nilikuwa kuwa mteja wao nikawahama.

Natanguliza shukrani.
STANDARD CHARTERED AU ABSA/BARCLAYS. ONLY THOSE 2 IN THE MARKET,ishu za mitandaoni consider foreign banks are experts on that.equity bank wanashida ya refund nilishawahi sikia kwa mtu flani mfanyakazi wa serikalini akilalamika.wanasystems failures.

MIMI NATUMIA STANDARD CHARTERED NA CRDB FOR TIME NOW.

CRDB SOMA VIZURI MAKATO YAO NA UULIZE KWA SABABU INFO ZINGINE HAMNA KWENYE TARRIF GUIDE YAO. PIA REFUND UNARUDISHIWA KIASI ULICHOSPEND ILA GHARAMA ZA HUDUMA KUZITOA ELA KWENDA MASTERCARD NA MASTERCARD KURUDI CRDB HAZIRUDI NI LAZMA UKATWE NI KAWAIDA.PIA RATE YA DOLLAR HUBADILIKA PIGA MAHESABU VIZURI
 
Pia jaribu DIAMOND TRUST BANK wana Mastercard ambayo ni 6 currency pia pia unaweza kufafiri nayo ukatoa pesa popote nchi yoyote bank yoyote
 
Back
Top Bottom