silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
Ha haaa. Sio kiduku lio mimi niko serious hawa Barclays wanatufanyia sivyoNimeangalia ID mara mbili nilidhani ni Kiduku. Au labda kachanganya ID.
Wajinga tu hawa sijui inakuwaje hawana noti za elfu 10Inaamanisha elfu moja Ndio ipo kwenye mzunguko sana?
Unapeleka wap hzo cash.. Ebu ondokeni kwenye huo ujima!
Basi hao watakuwa na matatizo yao binafsi,inawezekana hizo denominations za 10,000 wanawekea watu wao fulani fulani halafu wewe wanakupa buku bukuMkuu Ahsante kwa maelezo yako mazuri ila shida inaonekana ipo kwa hawa Barclays wao kila siku wanakwambia hawana noti za elfu 10
Sasa wabebe nini mbona muna kwemu vibaya hii concept.Bado unabeba cash hadi leo?
Kiduku kwake fedha hiyo ni ndogo mno - yeye angeleta hadithi ya kutoa tumilioni Mia mbili tu.Nimeangalia ID mara mbili nilidhani ni Kiduku. Au labda kachanganya ID.
Kama anafanya biashara ya mpesa au tigo pesa je?au kama ananunua mazao kijijini?mnakurupuka tu kwa kujiona mnaona mbaaali Kumbe kufikiri zeroUnapeleka wap hzo cash.. Ebu ondokeni kwenye huo ujima!
Huyu ni mwongo. Ameokoteza picha huko. Ukute huyo cashier yeye ana deal na kutoa malipo ya hizo 1000 ndo maana kaziomba. Bank si wajinga wakupe madude yote hayo