Benki ya CRDB tawi la bunda mnatukosea sana wateja wenu. Pengine mnatuhujumu au mmejisahau!

Benki ya CRDB tawi la bunda mnatukosea sana wateja wenu. Pengine mnatuhujumu au mmejisahau!

Mjukuu wa kigogo

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
445
Reaction score
1,094
Majuzi nilifika kwenye hili TAWI Kwa ajili ya kutoa fedha ATM cha kushangaza hapakuwa na option ya kutoa pesa zaidi ya ile ya kuangalia Salio nk.

Ikabidi niwe mpole nikakimbilia kutoa Kwa wakala.Akili yangu ilinituma lile lilikuwa tatizo la muda mfupi nikawa na matumaini litaisha siku hiyo hiyo.

Leo asubuhi napo nimefika ATM nikakuta option ya kutoa pesa haipo kwenye ATM.Ikabidi nizame ndani Kwa teller ili nichukulie dirishani.

Baadae nikawa nasikia kwa wateja wakitoa assumption inawezekana huo ni mchongo wa BENKI husika kushirikiana na mawakala katika kupiga pesa!

Naomba sana Mkurugenzi mkuu wa CRDB makao makuu ufuatilie hii kadhia.Watumishi wako ndani ya banki tunapowauliza hawana majibu ya kueleweka.
 
Nimewahi kupita hapo mara nne kwenye ATM hakuna kutoa hata leo kipindi naelekea mwanza nkasema ngoja nivute mavumba lah au lah nakuta watu wapo hapo nje eti ATM haifangi kazi
 
Nimewahi kupita hapo mara nne kwenye ATM hakuna kutoa hata leo kipindi naelekea mwanza nkasema ngoja nivute mavumba lah au lah nakuta watu wapo hapo nje eti ATM haifangi kazi
Mkuu huku mikoani uhuni mwingi sana
 
Back
Top Bottom