Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amesema kuwa Benki ya Dunia inatarajia kutoa dola milioni 150 sawa na takribani Tsh. Bilioni 384.9.
Fedha hizo zinatolewa kwa ajili ya kusaidia mabadiliko ya kidigitali nchini. Waziri amesema fedha hizo zitaboresha upatikanaji wa huduma za intaneti ili kukuza uwezo wa serikali kutoa huduma kwa kidijitali.
Fedha hizo zinatolewa kwa ajili ya kusaidia mabadiliko ya kidigitali nchini. Waziri amesema fedha hizo zitaboresha upatikanaji wa huduma za intaneti ili kukuza uwezo wa serikali kutoa huduma kwa kidijitali.