Kikwazo cha mabadiliko na maendeleo ya kidigitali yamekuwa yanazuiwa na Serikali..., yaani hata bila hizo pesa Serikali isingeweka vikwazo tungekuwa mbali zaidi.... Case Studies..
Kipindi Skype imekuja na watu kuweza kuongea kwa kutumia internet na watu wa nje, Serikali iliweka vikwazo Tanzania (eti TTCL atakosa mapato)
Watu wote mpaka vijijini walishazoea kutumia digital wallet (mpesa, tigo et al) yaani mtu hata alikuwa akiwa chumbani anataka kumtumia mtu pesa yupo sebuleni anatumia digital money sasqa hizi tozo zimeturudisha kwenye kutuma pesa kwa bahasha...
In short kusaidia maendeleo ya kidigitali Serikali ingeacha tabia yake ya kufix things while they aint broken ingesaidia zaidi, sio hii mikingamo ya Pwagu na Pwaguzi....