joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
404
opr.news
Wakati huohuo Waziri mdogo wa Kenya, amethibitisha kwamba, Kenya ni nchi iliyofilisika haina uwezo wa kuendesha miradi ya maendeleo bila kukopa, na kwamba kitendo cha WB na Marekani kuamua kumsimamisha kuikopesha Kenya, kutasababisha miradi mingi ya maendeleo kupigwa kalamu.