Namba ya matawi sio kigezo cha safety/soundness ya bank...mfano citi bank haina matawi kbsa, but it's one of the strongest in the market.
Hizi banks ndogondogo zenye matawi kumi tu nchi nzima,hazikawii kufungwa,Kuwa makini sana
Ndg wana JF habari zenu na poleni kwa shughuli za maendeleo ya nchi yetu.
Naomba mwenye uelewa au ufahamu wa benki yenye Fixed Deposit itakayo nizalishia PESA zangu na ku multiply reasonably
within 2 to 3 years atleast.
Nina almost 3M ambazo for the time being sina nazo kazi until maybe 5 years to come. Lakini kama hiyo benki itakuwa nzuri zaidi naweza kuacha pesa zangu even for next 15 years for my children tuition fee.
Please guyz if anybody is aware of such bank, i would like to know.
WISHING YOU A SUCCESSFUL NEW YEAR.
Lingepatikana jibu la hapa wengi tungeelewa kwa maana pale juu hata mimi sijaambulia jambofungua sacos yako kwa wafabiashara ndogo kama,mama ntilie,wachoma maandazi,vitumbua nk wanalipa zaidi kuliko benki kwa kiasi hicho ulichonacho
rate ya fixed deposit account na ya saving account ni ngapi?Plus Mikopo yaani, Housing Loan, Express Loan, Auto Express Loan and so much Moreeeee