Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #21
Basi ndio watakuwa wameanza hivi karibuni kama ni kweli unachosema.NENDA CRDB WANANUNUA MIKOPO YA TAASISI NYINGINE LAZIMA WAANDIKE BARUWA YA KUOMBA TAARIFA YA MKOPO KWENYE BENKI NYINGINE WAKIJIBIWA BASI UNAPEWA CHAKO KINGINE WANALIPA BENKI HUSIKA
Wakati taasiai nyingi za kifedha zinananunua madeni ya wafanyakazi ili kuwawezesha kukopa katika taasisi zao, benk za NMB,CRDB na Benki ya Posta hazina kabisa utaratibu huo na hivyo kuwafanya watumishi wanaohiji mikopo kushindwa kupata mikopo mpaka ama waljiipie madeni yao au wasubiri mikopo yao iishe ndio waweze kukopa katika hizo Benki(urasimu).
Faida ya kuchukua mikopo katika benki hizo ni kutokana na ukweli kuwa viwango vyao vya riba ni vya nafuu zaidi ukilinganisha na taasisi zingine za kifedha zinazotoa mikopo ambazo sio za kibenki lakini kikwazo ni huo urasimi wao.
Unaweza kuta mtu amebakiza mkopo kidogo tu na anataka kukopa katika hizo benki ila utashindwa kukopeshwa kwasababu ni lazima deni la taasisi nyingine liishe/lilipwe ili aweze kukidhi sheria ya moja ya tatu jambo ambalo lingewezekana iwapo hizi benki zingekubali kumlipa mtumishi deni hilo na hapo hapo wakamkopesha kwa kumpa kiasi kinachobaki baada ya kuwa wamemlipa deni lake la taasisi zingine za kifedha
Kwa mfano,kama unataka kukopa shilingi 10,000 kutoka benki mojawapo kati ya hizo na ili ukopesheke ni lazima kwanza ulipe deni la shilingi milioni 2 la taasisi nyingine iliyokukopesha awali ndio uweze ukopo ila ikitoke umekwama kupata hiyo milioni 2 basi unashindwa kupata mkopo kutoka NMB,CRDB au Benki ya Posta.
Lakini ukienda katika taasisi zingine zinazotoa mikopo wao wanakuchangamkia na deni wanakulipia na kinachobaki kutoka katika mkopo wako wa milioni 10 waliokukopesha yaani shilingi milioni 8 ndio wanakuingizi kwenye akaunti yako kama take home.
Yaani kwa mfano untaka kukopa milioni 10 ila kiasi unatachopewa ni shilingi milioni 8 tu na milioni 2 waliokukata wanaitumia kukulipia deni la benki au taasisi nyingine ya kifedha ili uweze kukopesheka(waweze kukukopesha hiyo milioni 10) na hivyo unakuwa na mkopo wa taasisi moja tu ya kifedha.
Jambo hili NMB,CRDB na Benki ya Posta kwa sasa haliwezekani kwa maelezo wao hawanunui (hawakulipii madeni ya taasisi nyingine) ili wakukopesha unless usubiri deni lako liishe au ulilipe mwenyewe kama unaweza.
Na zamani ilikuwa ni lazima mshahara upite katika benki yao ndio u-qualify kupewa mkopo ila siku hizi kidogo hilo shariti wamelegeza.
Inawezakana urasimu huu ni kwasababu bado vyuma havijakaza kisawasawa ili hali ikiwa tete urasimu huu wa kutoa mikopo kwa wafanyakazi watauacha.
Sijui na hili mpaka mkuu awaombe walitazame upya kama alivyowaomba kushusha riba za mikopo?!
Nafikiri kila taasisi ya kifedha huwa na requirements zake, (Buy back) si kila taasisi inakuwa nayo. Na kwa vile kwa sasa tuko kwenye ushindani, binafsi naichukulia hiyo si urasimu kama ambavyo mtoa hoja unaichukulia. Hii ni kwamba taasisi zimeshafanya utafiti na kuona kuingia kwenye hiyo ununuzi wa mikopo yawezekana kuna risk zake hivyo kama taasisi wakajikita kwenye mikopo mipya ambayo kwao haiwasumbui.Wakati taasiai nyingi za kifedha zinananunua madeni ya wafanyakazi ili kuwawezesha kukopa katika taasisi zao, benk za NMB,CRDB na Benki ya Posta hazina kabisa utaratibu huo na hivyo kuwafanya watumishi wanaohiji mikopo kushindwa kupata mikopo mpaka ama waljiipie madeni yao au wasubiri mikopo yao iishe ndio waweze kukopa katika hizo Benki(urasimu).
Faida ya kuchukua mikopo katika benki hizo ni kutokana na ukweli kuwa viwango vyao vya riba ni vya nafuu zaidi ukilinganisha na taasisi zingine za kifedha zinazotoa mikopo ambazo sio za kibenki lakini kikwazo ni huo urasimi wao.
Unaweza kuta mtu amebakiza mkopo kidogo tu na anataka kukopa katika hizo benki ila utashindwa kukopeshwa kwasababu ni lazima deni la taasisi nyingine liishe/lilipwe ili aweze kukidhi sheria ya moja ya tatu jambo ambalo lingewezekana iwapo hizi benki zingekubali kumlipa mtumishi deni hilo na hapo hapo wakamkopesha kwa kumpa kiasi kinachobaki baada ya kuwa wamemlipa deni lake la taasisi zingine za kifedha
Kwa mfano,kama unataka kukopa shilingi 10,000 kutoka benki mojawapo kati ya hizo na ili ukopesheke ni lazima kwanza ulipe deni la shilingi milioni 2 la taasisi nyingine iliyokukopesha awali ndio uweze ukopo ila ikitoke umekwama kupata hiyo milioni 2 basi unashindwa kupata mkopo kutoka NMB,CRDB au Benki ya Posta.
Lakini ukienda katika taasisi zingine zinazotoa mikopo wao wanakuchangamkia na deni wanakulipia na kinachobaki kutoka katika mkopo wako wa milioni 10 waliokukopesha yaani shilingi milioni 8 ndio wanakuingizi kwenye akaunti yako kama take home.
Yaani kwa mfano untaka kukopa milioni 10 ila kiasi unatachopewa ni shilingi milioni 8 tu na milioni 2 waliokukata wanaitumia kukulipia deni la benki au taasisi nyingine ya kifedha ili uweze kukopesheka(waweze kukukopesha hiyo milioni 10) na hivyo unakuwa na mkopo wa taasisi moja tu ya kifedha.
Jambo hili NMB,CRDB na Benki ya Posta kwa sasa haliwezekani kwa maelezo wao hawanunui (hawakulipii madeni ya taasisi nyingine) ili wakukopesha unless usubiri deni lako liishe au ulilipe mwenyewe kama unaweza.
Na zamani ilikuwa ni lazima mshahara upite katika benki yao ndio u-qualify kupewa mkopo ila siku hizi kidogo hilo shariti wamelegeza.
Inawezakana urasimu huu ni kwasababu bado vyuma havijakaza kisawasawa ili hali ikiwa tete urasimu huu wa kutoa mikopo kwa wafanyakazi watauacha.
Sijui na hili mpaka mkuu awaombe walitazame upya kama alivyowaomba kushusha riba za mikopo?!
CRDB tawi la SongeaMkuu,unachosema ni kweli?
Tawi gani ulijaribu?
Wakati taasiai nyingi za kifedha zinananunua madeni ya wafanyakazi ili kuwawezesha kukopa katika taasisi zao, benk za NMB,CRDB na Benki ya Posta hazina kabisa utaratibu huo na hivyo kuwafanya watumishi wanaohiji mikopo kushindwa kupata mikopo mpaka ama waljiipie madeni yao au wasubiri mikopo yao iishe ndio waweze kukopa katika hizo Benki(urasimu).
Faida ya kuchukua mikopo katika benki hizo ni kutokana na ukweli kuwa viwango vyao vya riba ni vya nafuu zaidi ukilinganisha na taasisi zingine za kifedha zinazotoa mikopo ambazo sio za kibenki lakini kikwazo ni huo urasimi wao.
Unaweza kuta mtu amebakiza mkopo kidogo tu na anataka kukopa katika hizo benki ila utashindwa kukopeshwa kwasababu ni lazima deni la taasisi nyingine liishe/lilipwe ili aweze kukidhi sheria ya moja ya tatu jambo ambalo lingewezekana iwapo hizi benki zingekubali kumlipa mtumishi deni hilo na hapo hapo wakamkopesha kwa kumpa kiasi kinachobaki baada ya kuwa wamemlipa deni lake la taasisi zingine za kifedha
Kwa mfano,kama unataka kukopa shilingi 10,000 kutoka benki mojawapo kati ya hizo na ili ukopesheke ni lazima kwanza ulipe deni la shilingi milioni 2 la taasisi nyingine iliyokukopesha awali ndio uweze ukopo ila ikitoke umekwama kupata hiyo milioni 2 basi unashindwa kupata mkopo kutoka NMB,CRDB au Benki ya Posta.
Lakini ukienda katika taasisi zingine zinazotoa mikopo wao wanakuchangamkia na deni wanakulipia na kinachobaki kutoka katika mkopo wako wa milioni 10 waliokukopesha yaani shilingi milioni 8 ndio wanakuingizi kwenye akaunti yako kama take home.
Yaani kwa mfano untaka kukopa milioni 10 ila kiasi unatachopewa ni shilingi milioni 8 tu na milioni 2 waliokukata wanaitumia kukulipia deni la benki au taasisi nyingine ya kifedha ili uweze kukopesheka(waweze kukukopesha hiyo milioni 10) na hivyo unakuwa na mkopo wa taasisi moja tu ya kifedha.
Jambo hili NMB,CRDB na Benki ya Posta kwa sasa haliwezekani kwa maelezo wao hawanunui (hawakulipii madeni ya taasisi nyingine) ili wakukopesha unless usubiri deni lako liishe au ulilipe mwenyewe kama unaweza.
Na zamani ilikuwa ni lazima mshahara upite katika benki yao ndio u-qualify kupewa mkopo ila siku hizi kidogo hilo shariti wamelegeza.
Inawezakana urasimu huu ni kwasababu bado vyuma havijakaza kisawasawa ili hali ikiwa tete urasimu huu wa kutoa mikopo kwa wafanyakazi watauacha.
Sijui na hili mpaka mkuu awaombe walitazame upya kama alivyowaomba kushusha riba za mikopo?!
Wakati taasiai nyingi za kifedha zinananunua madeni ya wafanyakazi ili kuwawezesha kukopa katika taasisi zao, benk za NMB,CRDB na Benki ya Posta hazina kabisa utaratibu huo na hivyo kuwafanya watumishi wanaohiji mikopo kushindwa kupata mikopo mpaka ama waljiipie madeni yao au wasubiri mikopo yao iishe ndio waweze kukopa katika hizo Benki(urasimu).
Faida ya kuchukua mikopo katika benki hizo ni kutokana na ukweli kuwa viwango vyao vya riba ni vya nafuu zaidi ukilinganisha na taasisi zingine za kifedha zinazotoa mikopo ambazo sio za kibenki lakini kikwazo ni huo urasimi wao.
Unaweza kuta mtu amebakiza mkopo kidogo tu na anataka kukopa katika hizo benki ila utashindwa kukopeshwa kwasababu ni lazima deni la taasisi nyingine liishe/lilipwe ili aweze kukidhi sheria ya moja ya tatu jambo ambalo lingewezekana iwapo hizi benki zingekubali kumlipa mtumishi deni hilo na hapo hapo wakamkopesha kwa kumpa kiasi kinachobaki baada ya kuwa wamemlipa deni lake la taasisi zingine za kifedha
Kwa mfano,kama unataka kukopa shilingi 10,000 kutoka benki mojawapo kati ya hizo na ili ukopesheke ni lazima kwanza ulipe deni la shilingi milioni 2 la taasisi nyingine iliyokukopesha awali ndio uweze ukopo ila ikitoke umekwama kupata hiyo milioni 2 basi unashindwa kupata mkopo kutoka NMB,CRDB au Benki ya Posta.
Lakini ukienda katika taasisi zingine zinazotoa mikopo wao wanakuchangamkia na deni wanakulipia na kinachobaki kutoka katika mkopo wako wa milioni 10 waliokukopesha yaani shilingi milioni 8 ndio wanakuingizi kwenye akaunti yako kama take home.
Yaani kwa mfano untaka kukopa milioni 10 ila kiasi unatachopewa ni shilingi milioni 8 tu na milioni 2 waliokukata wanaitumia kukulipia deni la benki au taasisi nyingine ya kifedha ili uweze kukopesheka(waweze kukukopesha hiyo milioni 10) na hivyo unakuwa na mkopo wa taasisi moja tu ya kifedha.
Jambo hili NMB,CRDB na Benki ya Posta kwa sasa haliwezekani kwa maelezo wao hawanunui (hawakulipii madeni ya taasisi nyingine) ili wakukopesha unless usubiri deni lako liishe au ulilipe mwenyewe kama unaweza.
Na zamani ilikuwa ni lazima mshahara upite katika benki yao ndio u-qualify kupewa mkopo ila siku hizi kidogo hilo shariti wamelegeza.
Inawezakana urasimu huu ni kwasababu bado vyuma havijakaza kisawasawa ili hali ikiwa tete urasimu huu wa kutoa mikopo kwa wafanyakazi watauacha.
Sijui na hili mpaka mkuu awaombe walitazame upya kama alivyowaomba kushusha riba za mikopo?!
kununua madeni ni utaratibu mgeni kwa baadhi ya taasisi.wajifunze kutoka nje ya nchi
Mkuu,wameanza lini kununua madeni ya watumishi?Mkuu wacha kupotosha NMB wana nunua, tembele atawi la karibu yako ukauze deni lako na upate mkopo.CC: NMB Tanzania
Wameanza lini kununua madeni ya watumishi?Kwasasa CRDB wananunua. Sjajua kwa hao wengine
Assumption hata kwenye sayansi zipo!Sasa nimepata jibu kwanini salary slip unalalamika 24/7.
hahahaha..Assumption hata kwenye sayansi zipo!
Mkuu,wameanza lini kununua madeni ya watumishi?
Wakati mwingine MTU, akiwa na mikopo mingi ufanyaji wake wa kazi unakuwa mdogonahisi sabab wao wana wateja wengi so wanaringa tofaiti na taasisi ambazo hazina wateja
na pia wanakwepa risk za wafanyakazi wengi wanakopa hela nyingi kisha wanaacha kazi.. na kuiachia benk mikopo chefu chefu
Tatizo ni riba wewe, bank zinatofautiana viwango vya riba kama hukufahamu fahamu sasa,Salary Slip mkuu wangu, hivi kwa nini kila kitu tunapenda kulalamika tu? Kama una deni na taasisi fulani kwanini usiende huko huko ukawauzia deni lao kuliko kulipeleka kwenye taasisi nyingine? Mimi ninachoelewa na ninacho uhakika, kama una deni na NMB ukienda tena kukopa unawauzia deni liliobaki wewe unapewa chako kinachobaki. Kama ulivyoelezea hapo juu kama unakopa 10 m na umebakiza 2 m kwenye mkopo wa awali basi jamaa wanakupa mkopo lakini wanakata deni lililobaki hivyo wewe unaondoka na 8 m yako, sasa ubaya hapo uko wapi? Hapo mimi sioni tatizo la hizo benki kama ulivyoanzisha mada yako! Vitu vingine viko sawa tusiwe walalamishi!!