chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Benki za Tanzania zipo kwenye mambo mawili ambayo wateja kutunza pesa na mikopo ili kupata faida.
Kuna sinema nyingi zinaonesha benki nyingi zinaweza kutunza nyaraka, madini na n.k na leo kama mifumo ya cryptocurrency benki imekubali kwa nchi chache.
Tanzania imebarikiwa kuwa na madini mengi na sehemu nzuri na hata walio na nyaraka kama za kutunzia mirathi, madini yao au madini kuwa kama account ya pesa. Hili jambo je benki lita kuwaje !
wanazengo!
Kumbusho: Wazo ili sio CCM maana watakuja na kucrash
Kuna sinema nyingi zinaonesha benki nyingi zinaweza kutunza nyaraka, madini na n.k na leo kama mifumo ya cryptocurrency benki imekubali kwa nchi chache.
Tanzania imebarikiwa kuwa na madini mengi na sehemu nzuri na hata walio na nyaraka kama za kutunzia mirathi, madini yao au madini kuwa kama account ya pesa. Hili jambo je benki lita kuwaje !
wanazengo!
Kumbusho: Wazo ili sio CCM maana watakuja na kucrash