KERO Benki ziache kutoa taarifa za wateja kwa mtu asiyehusika

KERO Benki ziache kutoa taarifa za wateja kwa mtu asiyehusika

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mtu mmoja ananidai pesa; nimekuwa nikimlipa kidogo kidogo na karibu namaliza deni. Ajabu jana kanipigia simu kuwa amefuatilia katika akaunti yangu na kuona nimetoa fedha bila kumlipa.

Taarifa hii kaipewaje hapo Bank ilihali akaunti siyo yake?

Je, benki mnatoa taarifa za wateja wenu kwa mtu yeyote asiyehusika na akaunti hiyo?

TAFADHALI ACHENI HIZO...
 
nenda kashtaki, bank ikulipe fidia,
kama random guy ana taarifa zako za bank, je wajizipata watu wabaya, si watakomba hela zote.
 
Back
Top Bottom