Beno Kakolanya ampa makavu mchambuzi uchwara David Felician

Mwandishi ni utopolo mtupu ,hajajua sababu ya Beno kutocheza yeye kaamua kujilopokea. Golini anakaa mmoja, kama kocha kampanga Manula yeye anataka Beno afanyejeje? Au anataka arudi utopolo?
Beno hawezi kurudi utopolo kwani kuna njaa sana huko.
 
Huyo Zahera aliyekuwa anamkataza Beno hazidai mishahara yake yeye mwenyewe wamemfukuza na kulipwa hajalipwa mpaka leo wamemtapeli
Alivyofukuzwa ndio akaanza kuzunguka kwenye redio na kudai alikuwa anawakopesha yanga . Hao wanaomponda Ben hawamsaidii chochote kwenye maisha yake na familia yake
 
1. Gadiel Michael analipwa mshahara kwa wakati.

2. Anakula vizuri na kulala vizuri

3. Ana uhakika wa kumla mke wake kwa amani kabisa.

4. Ana furaha.


Wewe zuzu unapiga piga kelele hapa. Maisha mwenzio ameshayapatia.hata akiwa anafanya mazoezi tu anarudi kualala analipwa na posho anapata. Wewe je? Kwa simba hii mimi ngekubali kusajiriwa hata kuwa nawabebea jersey na viatu akina chama. Mradi niwe nalipwa tu kuliko kucheza Utopolo.

 
Ndugu yangu soka la bongo halina dhamana mkataba wa Simba miaka miwili unamaslahi kuliko miaka 10 ya Mtibwa. Ajib, Ndemla, Beno, na Gadiel wanapaswa kupambana tu kwenye mazoezi kumridhisha kocha na kupata nafasi na hata wasipopata nafasi mara kwa mara ila kila wakipata mara moja waonyeshe kiwango. Simba itawapa mkataba mpya tu sababu haiwezi acha mchezaji talented ushahidi ni kwa Ndemla.
Mpira ni maisha na maisha ya benchi ya Simba ni bora kuliko kucheza dk 90 Jkt Tanzania halafu maisha hakuna.
 
Kipa no moja wa Argentina ni willy cabello
 
Kipa no moja wa Argentina ni willy cabello
Sergio Romero alsajiliwa Manchester kutoka Monaco akiwa kipa namna Moja wa Argentina
Kipa no moja wa Argentina ni willy cabello
Romero alisjiliwa Manchester akiwa kipa namba Moja wa Argentina na Degea kipa namba Moja wa Spain...hiyo ndo point yangu na si ni nani Kipa wa Argentina leo...hii ni squad ya 2018 World Cup. labda kama unapinga na hilo.
 
Kama aliyeko bench simba anavuta mpunga wa maana kuliko aliyeko golini Yanga shida iko wapi pesa kwanz mengine badae
Ukichunguza, karibia wote wanaopiga MAYOWE ni wapenzi/washabiki wa Yanga. Ni DONGE tu! Kwa nini SIMBA?
 
Unamjua Ozil wa Arsenal?
 
Tatizo we unaandika tu hapa yaani kwenye maandishi ni simple sana.
Ila Simba na Yanga wakikutoa kwa mkopo jua hurudi..wanasajili watu wapya Kila msimu...wachezaji wanalijua hilo we hujui wale siyo wapumbavu kama unavyowaita...Yuko wapi Paul Bukaba? Yuko wapi Mo Ibrahim? hao wote walikua kwa mkopo Namungo wako wapi sasa?
Na asikwambie mtu kutoka Simba Yanga au Azam kwenda JKT kama hawajakupa ajira ni bora ukarisiti tu..uende advance then chip ukale boom kulialia hayo Mashariki ya hizi timu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…