Elections 2010 Benson bana anapoanza kujipendekeza kwa Dr Slaa na CHADEMA

huyu Dr au takataka ...sitaki hata kumsikia mimi
 
huyu jamaa ni nyoka, anaweweseka kwa ukurutu alioutunga kumkweza kikwete na kuwadanganya watanzania tofauti na ukweli halisi kuhusu ushindi na kukubalika kwa chadema. Huyu jamaa aogopwe, adharauliwe na apuuzwe kabisa. Ni hatari sana, anapotokea ktk tv anakera mno hata kumtizama.
 
huyu ndo alifanya utaqfiti kuwa kikwete atashinda kwa asilimia kadhaa....ni msomi na ana phd......
Sijui utafiti wake alitumia wanafunzi wa mwaka wa kwanza????
I really hate him because he does not seem to be accademician.... ni mwanasiasa
 
Hebu punguzeni kidogo! Mtu hata akitoa comments basi ataambiwa anajipendekeza, sasa munataka watu wanyamaze?

Anatafuta kusafishwa huyu,naamini hapa jamvini haiwezekani aende PCCB.
 

huyu k&&*^%uma mae chu**&^%%$$$%pi yake mbovu si ndo alimpa mkwere sijui asilimia 70?? kaona wananchi wameongea their minds anaanza kujipendekeza..anatudhalilisha sana researchers huyu mzee...anafanya research zake hazina tofauti na utabiri wa sheikh yahya..mwehu huyu niliacha kumsikiliza kitambo sana na redet yake...na sijui vyombo vya habari huwa wanamwitia nn pumba kama huyu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…