hayo madebe mnayouziwa huko afrika nayo mnayaita BMW,BENZ?!hawa jamaa wanatufanya sie majalala yao.hayo magari hayana hata sifa moja ya kuitwa BMW,BENZ,yamepita muda wake wa kuwa salama na imara kwa matumizi ya watu.ndio maana wanaya-DUMP afrika.kwa taaarifa yenu hakuna gari hata moja la "mnadani" japan linaloruhusiwa kukanyaga mtaa wa "tokyo".na mengi yao huwa yanatumia mashambani(japan vijijini) miaka 4-5 kabla ya kuelekea minadani.
free advice,if you can't afford a cheaper car,don't buy a premier car for cheap.
if its too good to be true,it ain't!
Ni kweli ulichikisema mkuu.nimewahi kuwa nazo hizo E na c,ni gari nzuri sana na huwa hazina matatizo ila ujenge mazoea ya kufanya service.kuhusu vifaa vinapatikana pale sinza kuna jamaa anayo garage kwa ajili ya mabenzi tu,ni hela yako kama unataka used au nahitaji vifaa vipya.kaniki; sina experience na C Class.
Ila E Class naweza kusema ni gari Ngumu sana. utakumbuka zamani UwT na Ikulu walikuwa nazo nyingi tu.
Mfano mimi toka 2005 sijawahi kubadili Spares zozote hadi this month nilipojilazimisha kubadili Shock-Up, tyre rod ends, Ball joints n. ingawa bado gari ilikuwa inatembea.
At around 150,000 KM E series bado inapeta wala engine hiona dalili yoyote ya kuchoka. Ndo kwanza wakati mwingine engine inatoa hata mist ukiwasha gari asubuhi.
Spare parts zinapatikana Mpya na Used. Ukienda pale Mivinjeni Kilwa Road kuna mafundi wazuri sana tena kwa bei nzuri tu.
E series sasa hivi unaweza ukaiagiza japan kati ya $ 1500 hadi $ 5000. Ukinunua zaidi ya hapo, then umeliwa hauko makini kutafuta souce nzuri.
Mengine nisiongee kwa kuwa hujauliza. Ila kwa ufupi, kama umewahi kuendesha gari za namna tofauti 4WD au saloon za Class zote, bado utakubaliana na mimi hakuna gari yenye Confort kama Mercedez Benzi at least E Series ninayoijua mimi.
Ni kweli ulichikisema mkuu.nimewahi kuwa nazo hizo E na c,ni gari nzuri sana na huwa hazina matatizo ila ujenge mazoea ya kufanya service.kuhusu vifaa vinapatikana pale sinza kuna jamaa anayo garage kwa ajili ya mabenzi tu,ni hela yako kama unataka used au nahitaji vifaa vipya.
Kwani haya mabenz yanamilikiwa na watu wanaoishi Dar tu, wapeni data za sehemu za kufanyia service na kupata spare parts na ndugu zetu wa mikoani. Jamaa zetu pale Kasulu, Isaka na Namtumbo watakua wanahitaji kujua hizo sehemu ili angalau wakaservice ma Benz yao!!
Tunaosoma 2022