R Rukwa21 Senior Member Joined Apr 6, 2012 Posts 142 Reaction score 42 Apr 26, 2012 #1 wanajamii naomba ushauri kuhusu biashara ya kukodisha benzi za harusi zinalopa? Na kwa mfano ukipata order moja ya harusi ni shs ngapi? Naomba ushauri wenu wadau nafikiria kufanya hii biashara
wanajamii naomba ushauri kuhusu biashara ya kukodisha benzi za harusi zinalopa? Na kwa mfano ukipata order moja ya harusi ni shs ngapi? Naomba ushauri wenu wadau nafikiria kufanya hii biashara
kisu JF-Expert Member Joined Mar 31, 2009 Posts 1,045 Reaction score 442 Apr 26, 2012 #2 Fanya costing, sijui wanaita kuchokonoa au kuchakachua, uangalie gharama zako na uongezee faida yako.
Fanya costing, sijui wanaita kuchokonoa au kuchakachua, uangalie gharama zako na uongezee faida yako.
PayGod JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 1,259 Reaction score 60 Apr 26, 2012 #3 inategemea na mkoa ,ila kwa moshi ni 200,000 had 300,000,huku ikitegemea na umbali ambapo sherehe inafanyika
inategemea na mkoa ,ila kwa moshi ni 200,000 had 300,000,huku ikitegemea na umbali ambapo sherehe inafanyika