Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Vipi unaunga mkono matendo ya kihuni ya kupora mchakato wa chaguzi?Membe alitegemea Tume ikamkate Lisu abaki yeye kutokana na makubaliano ya Siri Kati ya viongozi wa juu wa Chadema na ACT wazalendo
Tume imekwepa mtego sasa wakapambane majukwaani Lisu vs Membe CCM tutakuwa watazamaji
Kwake Lisu kupitishwa na tume Ni tume haijatenda haki na yeye aliongea wazi kuonyesha Lisu kakiuka maadili !!!
Ujio wa Lisu unamfanya Membe ushindi bara uwe ndoto inayozimwa na Lisu upande wa upinzani na yeye akizima switch ya ushindi wa Lisu Zanzibar
Ni kuzimiana switch kwenda mbele kila mtu anazima switch ya mwrnzie kwake
Lisu Alikuwa sahihi kusema uchaguzi huu utakuwa mgumu !!! Kwake na Membe sababu Ni mwendo wa kuzimiana switch Lisu akienda mikoa ya pwani na kusini Membe anazima switch ya Lisu maana hiyo Kanda yake Lisu akienda kigoma Membe anazima Switch
Safari hii Ni balbu kuzimwa switch kwenda mbele
Safari hii Ni kuzimiana switch . Chadema wakienda tabora kwa wanyamwezi Lipumba anawazimia switch wakienda usukumani Magufuli anawazimia switchCCM:Safari hii Ni balbu kuzimwa switch kwenda mbele[
CHADEMA:Safari hii Ng'ombe atachinjwa upande wowote ule atakao kua amelalia.
Kazi ipo.
'Wakienda Zanzibar mwinyi na mama Samia Suluhu'Safari hii Ni kuzimiana switch . Chadema wakienda tabora kea wanyamwezi Lipumba anawazimia switch wakienda usukumani Magufuli anawazimia switch
Wakienda Zanzibar mwinyi na mama Samia Suluhu na Seif sharrf Hamad wanaizimia switch Chadema
BM Membe hana tofauti na Lowassa! Akipata kura laki moja ni nyingi.wasiwasi wako tu!
Skepticals kama nyie huwa hawakosi, ni akina Thomaso