Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Moja kati ya mawinga wa shambuliaji hatari ambao wamewahi kuja hapa nchini ni Bernard Morrison. Jamaa ni talented sana, hilo halina ubishii ata add value sana kwa kikosi cha lunyasii mnyama mkali.
Swala la nidhamu limekuwa questionable sana, ila kwa hali ya kawaida ya binadamu upatapo njaa huwezi kuwa na utulivu, hata wanyama hudiridki kula mpaka watoto wao mfano nguruwe. Morrison nidhamu yake ni kubwa sana shida ilikuwa njaa tu, hakuna kingine.
Angalizo: Mtani wetu Yanga ajipange kiukweli, hana ubora ule, hana hela za Manji tena. Itamchukua muda kurudi tena. GSM ni matapeli tu wanawarubuni mashabiki wa Yanga ili kuendelea kuuza jezi.
NB: Yajayo yanafurahisha. Kuna team haitaingia uwanjani next season ha ha ha ha.
"Huwezi kumiliki mwanamke mzuri wakati huna hela" ni dharau kwa wenye pesa.
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Swala la nidhamu limekuwa questionable sana, ila kwa hali ya kawaida ya binadamu upatapo njaa huwezi kuwa na utulivu, hata wanyama hudiridki kula mpaka watoto wao mfano nguruwe. Morrison nidhamu yake ni kubwa sana shida ilikuwa njaa tu, hakuna kingine.
Angalizo: Mtani wetu Yanga ajipange kiukweli, hana ubora ule, hana hela za Manji tena. Itamchukua muda kurudi tena. GSM ni matapeli tu wanawarubuni mashabiki wa Yanga ili kuendelea kuuza jezi.
NB: Yajayo yanafurahisha. Kuna team haitaingia uwanjani next season ha ha ha ha.
"Huwezi kumiliki mwanamke mzuri wakati huna hela" ni dharau kwa wenye pesa.
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app