Dah mama wawatu katibia na kupumzika ale pensheni akaaga dunia π£π£πππππUsisahau na Mama Mghwira
Kuna mmoja hapo hawezi kupumzika kwa amani sababu ya kuua watu, kusababisha watu kufa, kusababisha watu kujiua.Magu, Membe na sasa Lowassa
Pumzikeni kwa amani wazee wetu
Kwa sababu kasema aliemuumbaKuna mmoja hapo hawezi kupumzika kwa amani sababu ya kuua watu, kusababisha watu kufa, kusababisha watu kujiua.
Fact.Kuna mmoja hapo hawezi kupumzika kwa amani sababu ya kuua watu, kusababisha watu kufa, kusababisha watu kujiua.
MkuuKumbe mshikaji alikufa?
Na wewe?Kumbe mshikaji alikufa?
Jamaa atakua alikua abroad au jela au nje ya mtandao na tv,redio na vijiwe vya kahawa..Mkuu
Upo Nchi Gani ?
Niguse Ninuke!Hivi na mnada ndio ulikufa
Na mimiNikadhani kafa tena
Kanuka yeye, na hadi harufu imekwishaN I G U S E N I N U K E
By Comrade Membe