Kabisa mchezo huu hautaki hasira si walianza waooooooTumefika hapa kwasababu wapo wajuaji waliogoma kusahau yaliyopita, wayaache yaende, hawa wakajiona wamekaa juu wamefika, wao kila siku ikawa ni kumuimba marehemu mtangulizi,...
Naomba anayefahamu kwa undani kesi hii Musiba alishitakiwa kwa kosa gani hadi ikaamuliwa alipe bil 9Aaaahh Sasa hela zake bil 9 itakuwaje?
Zilipwe wapi kaacha usia[emoji2297]
... na wewe umo unamsubiri? Una mkataba na Mungu?Wazuri hawafi....Makamba sr. Naye tunamsubiri
Eti viongozi wenyewe kina Sheikh Alhad Musa na Kadinali Pengo wakati hawa wote ni usalama wa Taifa, tena Pengo anaweza kuwa CIA kabisa.Viongozi wa dini ni miungu? Acha kuleta vitisho vya hao matapeli.
11. Amefariki Dunia leo 13/5/2023 na sisi Sukuma Gang tumefarijika!Mfahamu walau kwa ufupi Bernard Kamilius Membe, aliyepata kuwa waziri wa mambo ya nje katika awamu ya 4.
Bernard Membe enzi za Uhai wake alibahatika kuwa na watoto watatu tu ambao ni; Cecilia, Richard na Denis.
Mawazo ya waabudu mizimu, watu wa Mungu hatuna mawazo haya.Usikute mzimu wa jiwe umeanza kipita na wabaya wake,mawazo ya kibiriani haya ya ijumaa
Hapo inategemea na imani yako. Sisi tunaoamini mizimu tunaamini ukifa unakuwa mzimu. Ama mzimu mzuri au mbaya. Masuala ya peponi na motoni ni yenu mnaoamini vitabuNa je unapokufa bila kusamehe, unaenda wapi, I mean peponi au motoni ?
Umetuhumiwa na baadhi ya jamaa wa SKG kuwa ulishangilia kifo cha Magufuli. Hujajibu. Ni kweli?
AAaaaaahhhhhRIEP BM. Njia yetu sote hiyo.
Ila, wema huwa hawafi. Mzee Makamba, sura ya 26 mstari wa 18 mpaka 23
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niwacheeeeeeWewe ndo maana mkulungwa anakusifiaga mno... mnafanana tabia