Gazeti la hasimu wake..
 
10. Mwaka 2015 alichukua fomu za kugombea Urais lakini alishindwa na John Pombe Magufuli.
Mwaka 2020 aligombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo baada ya kufukuzwa CCM lakini hakufua dafu. Baadae alirejea tena CCM.
Alikuja na usemi wa
Niguse ninuke
Bao la dakika ya 89:59
 
Ana bahati tu kwa sababu ya matumizi ya ARV; vinginevyo na yeye ingesoma
Hapo ukuu wa Mungu unaingiaje, kama alikuwa analopoka ilitakiwa Sheria ifuatwe. Mungu wetu tusi mhusishe na mambo yetu ya kijinga. Mungu haja husika na kifo cha yeyote.ila Kila mtu ana siku zake zikifika basi ndo byby. Siasa na ushabiki wetu wakijinga hautabadirisha chchote.
 
Hivi mungu nyie m amchukuliaje. Kwanza ni dhana tu hakuna kitu kama hicho.
 
hata wewe hujui kesho yako. Hakuna ukuu wa Mungu mbele ya yule shetani wenu. We nafikiri unatumia makalio kufikiri. Magufuli hawezi kufananishwa na Magufuli, Mungu alikuwa anatwsa wananchi wake. Musiba alimkashifu na kumdhalilisha sana Membe, Membe alitafuta haki zake kwa njia sahihi kabisa akashinda, mahakama ni mkono wa Mungu hapa duniani. SaSA Ugomvi gani wa kuamuliwa na Mungu hapo. Hata hivyo deni liko pale pale, Membe ameacha wategemezi wake, ile ni haki yao, atalipa tu.
 
Mkuu, naomba unitoe kwenye utata, nipe kifungu cha sheria kinachoruhusu ama kukataza utekelezwaji wa hukumu iliyokwishatolewa juu ya ulipwaji wa kile kiasi cha pesa.
Kwa kuwa Kuna Decree(Tuzo), na hukumu, msimamizi wa mirathi ya membe anaweza kuendeleza pale membe alipoishia. Ingekuwa kesi haijaisha, na kwa kuwa ilikuwa ni kesi ya defamation, basi kesi ingejifia kwa sababu aliyekashifiwa ndiye anatakiwa kushuhudia jinsi alivyodhalilishwa
 
Na wewe ulishangilia kifo cha JPM eti?
 
Waseminari sio watu Wazuri
 
Afadhali kafa. Kachero gani kaifikisha nchi hapa tulipo.

Hawa mbwa wana nafasi kubwa sana kuiweka hali ya nchi katika hali imara.

Wamechekezea posho na mishahara na kuitelekeza nchi katika lindi la wizi na ufisadi.
kazi yao ilikuwa ni kupishana hewani tu

hahhahhahhah
 
Ni suala la muda tu. Kila mtu atapata ujira wake tuendelee kusali na kuomba maana walifirahi sana kifo cha mkombozi wetu JPM
yule alikuwa ibilisi, watanzania wanateseka mpaka leo kwasababu ya yule mwovu, wasomi wanadhalilika mitaani kwasababu ya yule shetani. Membe amewakosea nini watanzania? Hajawahi kuwa na cheo cha yule mfu wenu. Mtaweweseka sana ndio ameshakufa na hawezi kufufuka. Bila haya, mkombozi wetu, alikukomboa wapi we mpumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…