Uchaguzi 2020 Bernard Membe amuunge mkono Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Bernard Membe amuunge mkono Tundu Lissu

Msukuma Original

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2018
Posts
928
Reaction score
3,330
Membe amuunge mkono Lisu. ACT ni chama kichanga sana. Haiwezekani mgombea wa urais atoke ATC. CHADEMA ina wanachama wengi sana haiwezekani mgombea atoke kwenye chama kisichokuwa na wanachama wengi.

Ujio wa Membe hautakuwa na impact kubwa sana kwenye upinzani. Membe anajulikana ukanda wa kusini tu. Tanzania ni kubwa sana, watu watakaokuja na Membe upinzani ni asilimia ndogo sana ya wapiga kura wa Tanzania nzima.

CHADEMA msifanye kosa mkamuunga mkono mpinzani yoyote wa nafasi ya urais zaidi ya Lisu. Upinzani mkichukua nchi tafadhalini myaendeleze yote mazuri anayoyafanya Magufuli. Miradi yote aliyoianzisha Magufuli ambayo haijakamilika mkaikamilishe. Hizi ni hela za watanzania. Haiwezekani kila rais anayeingia anakuja na mambo yake mapya na kuyatelekeza ya mtangulizi wake.

Watanzania walio wengi wanaifurahia miradi inayofanywa na Magufuli. Hakuna asiyefurahia kuona miradi mikubwa kama hii inatekelezwa. Kwenye kampeni zenu nendeni mkawaambie wananchi kuwa hakuna hela ya watanzania itakayopotea kwenye hii miradi aliyoianzisha Magufuli, mnaenda kuikamilisha pale alipoishia.

Mkimsimamisha Membe mnaenda kushindwa vibaya sana. Membe hajulikani kwingine kote isipokuwa ukanda wa kusini na kwenye mitandao ya kijamii. Wapiga kura wengi hawapo kwenye mitandao ya kijamii.

Binafsi natamani Magufuli aendelee kutawala ili akamilishe miradi aliyoianzisha.
 
Nyie si mlimtukana sana Zitto tena matusi makubwa makubwa mpaka mkakataa kushiriki hata msiba wa kifo cha mama yake? Mlifikiri ndio kafa kisiasa?
 
Sidhani kama Lissu, atafanikiwa kuwa kwenye kinyang'anyiro cha urais 2020, vikwazo ni vingi, ikiwa pamoja na pesa, muda hata afya.

Lissu akifanya uwamuzi wa kwenda ACT, ni kama kupoteza muda. ACT bado ni chama kichanga sana na kimejaa watu wenye misimamo mikali ya kidini na ya kisiasa.
 
Usiwe na hofu mtoa post, JPM atashinda kwa kishindo. Hasa wengine wanarukaruka tuu uroho wa madaraka. Member na Lissu pamoja na wafuasi wao wanajua kuwa wanapoteza wakati Kwa kuwadhihaki na kuwahadaa Watanzania, tutawaadhibu oktoba
 
Membe amuunge mkono Lisu. ACT ni chama kichanga sana. Haiwezekani mgombea wa urais atoke ATC. CHADEMA ina wanachama wengi sana haiwezekani mgombea atoke kwenye chama kisichokuwa na wanachama wengi.

Ujio wa Membe hautakuwa na impact kubwa sana kwenye upinzani. Membe anajulikana ukanda wa kusini tu. Tanzania ni kubwa sana, watu watakaokuja na Membe upinzani ni asilimia ndogo sana ya wapiga kura wa Tanzania nzima.

CHADEMA msifanye kosa mkamuunga mkono mpinzani yoyote wa nafasi ya urais zaidi ya Lisu. Upinzani mkichukua nchi tafadhalini myaendeleze yote mazuri anayoyafanya Magufuli. Miradi yote aliyoianzisha Magufuli ambayo haijakamilika mkaikamilishe. Hizi ni hela za watanzania. Haiwezekani kila rais anayeingia anakuja na mambo yake mapya na kuyatelekeza ya mtangulizi wake.

Watanzania walio wengi wanaifurahia miradi inayofanywa na Magufuli. Hakuna asiyefurahia kuona miradi mikubwa kama hii inatekelezwa. Kwenye kampeni zenu nendeni mkawaambie wananchi kuwa hakuna hela ya watanzania itakayopotea kwenye hii miradi aliyoianzisha Magufuli, mnaenda kuikamilisha pale alipoishia.

Mkimsimamisha Membe mnaenda kushindwa vibaya sana. Membe hajulikani kwingine kote isipokuwa ukanda wa kusini na kwenye mitandao ya kijamii. Wapiga kura wengi hawapo kwenye mitandao ya kijamii.

Binafsi natamani Magufuli aendelee kutawala ili akamilishe miradi aliyoianzisha.
Hakuna cha tundu lissu membe mbowe sijui nani. Hao wote sio lolote kwa nafasi ya urais. Upinzani safari hii kwa ujumla wakifanya vizuri sana watapata sio zaidi ya asilimia 20. Hakuna wasiwasi kazi na miradi ya magufuli vitaendelea. Tena ilani mpya italeta miradi mipya kuipaisha zaidi nchi kwenye orodha ya nchi za uchumi wa kati.
Hao vibaraka wa uliberali wenye kutaka kurudisha uchumi wa madawa ya kulevya na rushwa kila mahali nafasi hawana.
 
nyie chadema pumbavu sana zungumzieni wagombea waliopo mezani kina Mwizi wa twiga Nyalandu, Mlevi na Mzinzi DJ Makengeza, makapi ya CCM kinaMembe na wengineo kama wavuta bangi Sugu na Prof J, mvuta bangi Halima, wengine tunasikia kutapika mkitaja mizimu kama Lissu!! huyo mshamba mleteni haraka mbele ya macho yetu wajinga nyie!! nyie chadema mmevurugwa ni punguani!! wengine tunaishi katika what is real and not what is ideal!!

Lissu will remain a ghost until when he reveals himself in our world of consciousness that is verified by our common sense and sense organs!!
 
Usiwe na hofu mtoa post, JPM atashinda kwa kishindo. Hasa wengine wanarukaruka tuu uroho wa madaraka. Member na Lissu pamoja na wafuasi wao wanajua kuwa wanapoteza wakati Kwa kuwadhihaki na kuwahadaa Watanzania, tutawaadhibu oktoba

Utawaadhibu wapinzani kwa njia gani? Maana Magufuli hajawahi kuwa muumini wa ushindani kwa njia ya box la kura.
 
Hahaha Tundu Lisu hajachaguliwa kuwa mgombea wa Chadema jamani, kwanza hata hajaja nchini anamuunga mkono kwa lipi?!
 
Huo ukanda wa Kusini unaomjua Membe ni upi? Sema anajulikana kijijini kwao Rondo na maeneo machache ya Mtwara mjini.
 
nyie chadema pumbavu sana zungumzieni wagombea waliopo mezani kina Mwizi wa twiga Nyalandu, Mlevi na Mzinzi DJ Makengeza, makapi ya CCM kinaMembe na wengineo kama wavuta bangi Sugu na Prof J, mvuta bangi Halima, wengine tunasikia kutapika mkitaja mizimu kama Lissu!! huyo mshamba mleteni haraka mbele ya macho yetu wajinga nyie!! nyie chadema mmevurugwa ni punguani!! wengine tunaishi katika what is real and not what is ideal!!
Mpumbavu ni mamako na huyo babayenu mzinzi wa kisarawe bichwa nundu.
 
Hamna wa kupambana na Magufuri apo, weka nyarandu + lissu + Membe + Mbowe + mzee wa chauma, hata nusu ya kura za magufuri hamtafika tukiacha na neno CCM

Msimtenge nyarandu anateseka tu na basi kutafuta wadhamini kumbe msha mpa lissu si bora agombee ubunge
 
Hi ndo busara inayotakiwa sasa hivi, Membe amuunge mkono Lissu
Lissu yupo hospital mkuu unaboa!! niliona ni bahati mbaya imemkuta ila hawezi kusimama upright tena viatu anavaa vina soli ndefu, we should not talk about him, he is finished!!
 
Back
Top Bottom