Bernard Membe ungerejea CCM na kunyamaza tu ungeheshimika kuliko unavyobwabwaja sasa na kudharauliwa

Bernard Membe ungerejea CCM na kunyamaza tu ungeheshimika kuliko unavyobwabwaja sasa na kudharauliwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tokea utangaze kurejea rasmi CCM ni kama vile umerukwa ghafla na Akili kwani 'unabwabwaja' mno mpaka 'Unaboa' na wengine tunajiuliza hivi huyu huyu ni Membe yule yule aliyekuwa Waziri wa 'Foreign Docket' au?

Na nyie Watoto wa Mzee Membe hebu mshaurini basi Mshua wenu atulie tu ale Pensheni zake kuliko Kujichoresha kila mara tangia arejee zake CCM.

Mbona wengine ' Washua' zao tena wameitumikia nchi hii kwa Kiwango cha Kutukuka mpaka kupata Tuzo zao za Heshima nchini Uganda kwa Museveni, Rwanda kwa Kagame, Burundi kwa Hayati Buyoya, Congo DR kwa Hayati Kabila na Afrika Kusini kwa Hayati Mandela na hapa Tanzania wakiwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere walipoachana na Majukumu yao ya Kitaifa wamewashauri kuwa Kimya na Kufurahia tu Maisha yao ya Uzeeni bila kuwa 'Wapayukaji' hovyo?

Mzee Membe badilika Unaboa mno.
 
Tokea utangaze kurejea rasmi CCM ni kama vile umerukwa ghafla na Akili kwani 'unabwabwaja' mno mpaka 'Unaboa' na wengine tunajiuliza hivi huyu huyu ni Membe yule yule aliyekuwa Waziri wa 'Foreign Docket' au?

Na nyie Watoto wa Mzee Membe hebu mshaurini basi Mshua wenu atulie tu ale Pensheni zake kuliko Kujichoresha kila mara tangia arejee zake CCM.

Mbona wengine ' Washua' zao tena wameitumikia nchi hii kwa Kiwango cha Kutukuka mpaka kupata Tuzo zao za Heshima nchini Uganda kwa Museveni, Rwanda kwa Kagame, Burundi kwa Hayati Buyoya, Congo DR kwa Hayati Kabila na Afrika Kusini kwa Hayati Mandela na hapa Tanzania wakiwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere walipoachana na Majukumu yao ya Kitaifa wamewashauri kuwa Kimya na Kufurahia tu Maisha yao ya Uzeeni bila kuwa 'Wapayukaji' hovyo?

Mzee Membe badilika Unaboa mno.
Kachero mbobezi anafurahi kirejea Home anawapiga madongo walioshirikiana na Mwendazake kumla kichwa bila kufuata utaratibu
 
Na yeye bado anasubiri uteuzi! Vijana wasubirie nini sasa
Mkuu wanasiasa wa bongo kuishi nje ya siasa ni ngumu sana. Hii ni kwa sababu ktk siasa ndiyo kuna pesa za bure na michongo mingi. Hawana uwezo wa kupambana nje ya siasa ndiyo maana wapo radhi wazeeke hadi kufa wakiwa bado ni wana siasa.
 
Tokea utangaze kurejea rasmi CCM ni kama vile umerukwa ghafla na Akili kwani 'unabwabwaja' mno mpaka 'Unaboa' na wengine tunajiuliza hivi huyu huyu ni Membe yule yule aliyekuwa Waziri wa 'Foreign Docket' au?

Na nyie Watoto wa Mzee Membe hebu mshaurini basi Mshua wenu atulie tu ale Pensheni zake kuliko Kujichoresha kila mara tangia arejee zake CCM.

Mbona wengine ' Washua' zao tena wameitumikia nchi hii kwa Kiwango cha Kutukuka mpaka kupata Tuzo zao za Heshima nchini Uganda kwa Museveni, Rwanda kwa Kagame, Burundi kwa Hayati Buyoya, Congo DR kwa Hayati Kabila na Afrika Kusini kwa Hayati Mandela na hapa Tanzania wakiwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere walipoachana na Majukumu yao ya Kitaifa wamewashauri kuwa Kimya na Kufurahia tu Maisha yao ya Uzeeni bila kuwa 'Wapayukaji' hovyo?

Mzee Membe badilika Unaboa mno.
busara inasema,"kuku aliyebanwa na yai lazima apige kelel"
 
Mkuu Genta,

Wiki hii umetoka kifungoni nini?.

Maana kila baada ya lisaa ni mwendo wa kushusha 'sridi'[emoji3]
 
Back
Top Bottom