Waminepo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2019
- 374
- 254
Ndugu wana jukwaa salam,
Uchaguzi umepita na sasa ni wakati wa kuchapa kazi kujiletea maendeleo.
Lakini si vibaya tukajuzana juu ya washindani katika nafasi mbalimbali, kwa mfano mzee wa niguse ninuke ama mzee wa bao la dakika ya 89 katika kinyang'anyiro cha ofisi namba 1 jamani yu wapi? Au ni Mimi tu ndio simsikii tena?
Daaaah! kwa kweli tambo za jasusi huyu mbobezi ziliniacha hoi!
Uchaguzi umepita na sasa ni wakati wa kuchapa kazi kujiletea maendeleo.
Lakini si vibaya tukajuzana juu ya washindani katika nafasi mbalimbali, kwa mfano mzee wa niguse ninuke ama mzee wa bao la dakika ya 89 katika kinyang'anyiro cha ofisi namba 1 jamani yu wapi? Au ni Mimi tu ndio simsikii tena?
Daaaah! kwa kweli tambo za jasusi huyu mbobezi ziliniacha hoi!