Bernard Membe yu wapi jamani?

Bernard Membe yu wapi jamani?

Waminepo

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2019
Posts
374
Reaction score
254
Ndugu wana jukwaa salam,

Uchaguzi umepita na sasa ni wakati wa kuchapa kazi kujiletea maendeleo.

Lakini si vibaya tukajuzana juu ya washindani katika nafasi mbalimbali, kwa mfano mzee wa niguse ninuke ama mzee wa bao la dakika ya 89 katika kinyang'anyiro cha ofisi namba 1 jamani yu wapi? Au ni Mimi tu ndio simsikii tena?

Daaaah! kwa kweli tambo za jasusi huyu mbobezi ziliniacha hoi!
 
Yuko kijijini anafanya mpango wa kwenda DUBAI kwenda kuchukua fedha ya kujikimu na boss wake wa zamani ; fedha walizoficha huko badala ya kuzileta kwa wananchi kama walivyokubaliana na marehemu Gaddafi!

Kisiasa ndio amekwisha kwani hana platform tena ya kupazia sauti; imebakia akafanye biashara ya hotel huko kwao kama atapata wateja wakati huu na corona!
 
Ndugu wana jukwaa salaam ! Uchaguzi umepita na sasa ni wakati wa kuchapa kazi kujiletea maendeleo...
Yupo anauguza majeraha ya kuporwa pesa zake zote alizokwenda kuchukua Dubai na pia A/C zake kufungwa, njaa inamsukuma CCM mda si mrefu atarejea CCM ili apate kuokoa mali zake
 
Yupo anauguza majeraha ya kuporwa pesa zake zote alizokwenda kuchukua Dubai na pia A/C zake kufungwa, njaa inamsukuma CCM mda si mrefu atarejea CCM ili apate kuokoa mali zake
🤣🤣🤣🤣
 
Yuko kijijini anafanya mpango wa kwenda DUBAI kwenda kuchukua fedha ya kujikimu na boss wake wa zamani ; fedha walizoficha huko badala ya kuzileta kwa wananchi kama walivyokubaliana na marehemu Gaddafi!!!
Kisiasa ndio amekwisha kwani hana platform tena ya kupazia sauti;imebakia akafanye biashara ya hotel huko kwao kama atapata wateja wakati huu na corona!!!
Mwezi wa December ndio Corona inarudi round ya pili
 
Tulisema ni pandikizo yaani kuna wenzake wamepigwa hata kudanganya kwenda hospital kashidwa!
 
Yuko busy kupanga Baraza la Mawaziri huko twitter.. 😅
 
Zitto ni tapeli Sana,sasa hivi amekuwa rafiki wa Tundu Lissu wakati juzi kati tu walishikana uchawi wakatimuana
 
Back
Top Bottom