Bernard Membe yu wapi jamani?

πŸ˜ πŸ˜ˆπŸ˜‘πŸ‘ΉπŸ‘ΊπŸ˜œπŸ€’πŸ˜·πŸ’©πŸ’©πŸ‘½πŸ‘»β˜ οΈπŸ™ˆπŸ™‰πŸ€–πŸ˜Ύ
 
Membe siyo kachero mzoefu angekuwa hivyo angenusa harufu ya kuporwa pesa zake mapema angeweza kujipanga vizuri, kachero gani unazidiwa mbinu wakati makachero wenzake wangeweza kumtonya mapema kinachojili
Nashukuru kwa kuliweka hili wazi na ndiyo ukweli wenyewe. Katika Hadhi ya Majasusi ( Makachero ) wa ukweli wa Tanzania Membe hata hayupo.
 
Membe alisoma mchezo wote,na kugunduwa kwamba wanataka kumtumia tu kula pesa zake.
Pia aligunduwa kwa mara ya kwanza kuwa amekosa mvuto wa kushindana na Magufuli.
Labda anapanga kurudi CCM kwa kuwatumia akina Nape na JK.
 
Habari za chini chini zinasema yuko ICU, anajifanya Trump wa Tanzania kukataa matokeo ya uchaguzi kwani alidanganywa na msaliti Zitto kuwa angeshinda urais na ndiyo maana walijitungia msamiati wa kisanii kwamba "kazi na bata." Yaani nashindwaga kuelewa mtu una akili timamu unamianiji Zitto?
 
Mwezi wa December ndio Corona inarudi round ya pili

JIWE kawaminisha kuwa corona hakuna Tanzania lakini chakushangaza alikomba fedha ya "MABEBERU" kutibia corona nchini!!!!
 
Mbona mafukunyuku hivi ?Tulishaambiwa yupo busy anandaa baraza la mawaziri.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Huyu jamaa anavitisho sana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…