Bernard Membe yu wapi jamani?

membe tayariii ni ccm @:
 
Yupo njiani anarudi ccm amekwama kwenye foleni ya mbezi kimara
 
Yupo anauguza majeraha ya kuporwa pesa zake zote alizokwenda kuchukua Dubai na pia A/C zake kufungwa, njaa inamsukuma CCM mda si mrefu atarejea CCM ili apate kuokoa mali zake
Ina maana aliisahau system aliyoitumikia muda mrefu ina ubabe kiasi gani?
 
Mzee keshaachana na ACT Wazalendo. Ameomba msamaha ccm.
 
Wewe ni Membe live. Pole mzee, mmepigwaaaaa. Pumbvuuuuuuuuuuuu nyieeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…