Bernard Morrison apimwe akili na utimamu

Bernard Morrison apimwe akili na utimamu

Kwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
Unataka tuwe mashahidi wa uongo?Ungeweka kibwagizo cha kusindikizia sledi.Zamani kwenye vitabu waliandika "kielelezo"!
 
Yaani mtu yupo baharini anakula zake maisha halafu umkataze eti asipige picha wala kupost kuna ubaya gani hapo
 
Kwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
Kwani kafanyaje mkuu?
 
Kwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
Uyo mpaka siku akimfata babra na magoli ofisini kwao akiwa uchi ndo watajua kuwa ni mwezi mchanga, Kama alivua nguo akabaki na chupi mbele ya mgeni rasmi kighoma na viongozi wake wakamkenulia meno tu bila kumfanya chochote unafikiri anaofia nini, acha wamlee atakuja kuwadhalilisha kwa matukio zaidi ya ayo
 
Uyo mpaka siku akimfata babra na magoli ofisini kwao akiwa uchi ndo watajua kuwa ni mwezi mchanga, Kama alivua nguo akabaki na chupi mbele ya mgeni rasmi kighoma na viongozi wake wakamkenulia meno tu bila kumfanya chochote unafikiri anaofia nini, acha wamlee atakuja kuwadhalilisha kwa matukio zaidi ya ayo
Sasa mgeni rasmi awe mkeo halafu yeye anaenda na chupi
 
Kwa clip aliyoipost katika ukurasa wake wa Instagram, naziimba mamlaka za nchi hii zimpime akili kijana huyu maana tunaweza tukawa tunacheka na kufurahi kumbe tunampiteza mwenzetu! Apimwe kwa haraka..
Shida ni kubwa zaidi ya hapo, Morrison mwenyewe aliwahi kuvua nguo uwanjani akabakia na kichupi, Mwijaku aliitisha maandamano ya kutembea uchi, Kanjibai siku hizi anavaa vipedo pusha kama Wema Sepetu.
 
Yaani mtu yupo baharini anakula zake maisha halafu umkataze eti asipige picha wala kupost kuna ubaya gani hapo
Screenshot_20220108-212934_Chrome.jpg

Hawa pia wakamatwe 🤣🤣
 
Uyo mpaka siku akimfata babra na magoli ofisini kwao akiwa uchi ndo watajua kuwa ni mwezi mchanga, Kama alivua nguo akabaki na chupi mbele ya mgeni rasmi kighoma na viongozi wake wakamkenulia meno tu bila kumfanya chochote unafikiri anaofia nini, acha wamlee atakuja kuwadhalilisha kwa matukio zaidi ya ayo
Naona Jana mmefurahia Sana kumuona msemaji wenu akiliwa dendah
 
Back
Top Bottom