Nida si ni kwaajili ya mtanzia au siyo hivyo?nilitaka tu nijue kama ana namba ya NIDA tuanze kuliamsha dude
Duh jina gani hili?
View attachment 2275268
Ni kweli...Nida si ni kwaajili ya mtanzia au siyo hivyo?
Nida si ni kwaajili ya mtanzia au siyo hivyo?
nilitaka tu nijue kama ana namba ya NIDA tuanze kuliamsha dude
Duh jina gani hili?
View attachment 2275268
Kwani bado si mchezaji wenu? Changishaneni zipatikane!Jezi 100 kitu gani bhana! Mkihitaji na sisi tuwapige tafu, tutawapiga tu.Atuache aisee..kwann asinunue hizo pisi??
Alafu tukimnunulia atakuja kutusumbua luilipia kwenye ndegeAtuache aisee..kwann asinunue hizo pisi??
Amefaulu kuchezea akili za wadanganyikaHuyu jamaa ana mambo mengi sana kila anapotoka ana toka kwa tension
Hana fadhila huyo alianzisha bonanza lake huko kwao ghana na Mo foundation ikadhamini jezi mbona halisemei hilo?Sasa si aende kweny duka la klabu akanunue..vipi klabu ikulipe na ikutafutie Jezi za kwenda kuwapa watu wako.
Ni kwa raia na kila mkazi wa tanzaniaNida si ni kwaajili ya mtanzia au siyo hivyo?
Hujaelewa na unaonekana ni mweupe sana kichwani. Jamaa alitype kwa ENGLISH na alivyoitranlate kwa Google pale kwenye piece kadhaa ya jezi ndio imetafsiri KIPANDE lkn uhalisia amehitaji Jezi pisi 100.Hiyo chizi ameomba vipande 100 vya jezi, hiyo haina gharana, unanunua jezi 1 ya Simba unakata vipande 100 unampatia!