Bernard Morrison: Tumekuja kuisaidia Ken Gold, imecheza mechi 16 na kuvuna pointi 6 tu

Bernard Morrison: Tumekuja kuisaidia Ken Gold, imecheza mechi 16 na kuvuna pointi 6 tu

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mchezaji Mpya wa @kengoldsctz Benard Morison amesema lengo lake na wachezaji wengine wamekuja kwa ajili ya kuisaidia Timu ili ipate matokeo Mazuri kwani imekuwa na muendelezo wa matokeo mabovu hivyo kuifanya iburuze mkia ikiwa na pointi 6 tu baada ya kucheza michezo 16 ikibakiwa na michezo 14 mkononi.

Morrison ameyasema hayo leo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha Sports Attack cha radio Dream FM iliyopo jijini Mbeya.

 
Back
Top Bottom