Mkuu namimi are you serious..?π€£nmefadhaika sijamuona KENZY Bujibuji hearly Extrovert na binti mmoja ana ka avatar mdada amevaa ushungi wa njano..
Sent using Jamii Forums mobile app
ushawishi negative mkuu,. na mashiko pia sio positive ni negative vilevile mr Komamanga... bado pia ni ushawishi nlimsahau rikiboy piaMkuu namimi are you serious..?[emoji1787]
Kwa ushawishi upi huo nilionao!
But anyway Kama ni kwenye list yako nashukuru sana kwa hiyo nafasi lkn Kama ni nafasi ya forum kiujumla ha ha ha.. labuda ushawishi wa kunywa juisi kola..[emoji1787]
Sawa bhana yote kheri tuko pamoja sana ile kibaharia zaidi..πushawishi negative mkuu,.. bado pia ni ushawishi nlimsahau rikiboy pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaa tubaki mulemule!Sawa bhana yote kheri tuko pamoja sana ile kibaharia zaidi..[emoji23]
Jamaniππ! mapengo yako kama goli la yangaπBro, naona kunamtu unamuelekeza kibla mubashara..ππ
Same to you mpendwa, ha ha unajua kuna ka draft kamejisevu sijamaliza kuandika, nikitaka kuandika inaniambia insert previous [emoji23][emoji23] ninaghairi tenaMpendwa [emoji16][emoji16]
Heri ya Christmas, Yesu wetu na azaliwe moyoni mwako. [emoji173]
Merry Christmas from me to you and your family financial services , seriously unafanya nafurahia michango yako hapa jf, yani upo kila mahali hadi Garage [emoji23]Aisee thank you mkuu! Am happy kusikia hivo. Merry Christmas [emoji7][emoji7]
KabisaNaam mkuu, huu ni ukweli ulio wazi mno
Una comments flani zinanipaga raha sanaπππ weyeee π
Moja kwa moja member kwenye mada member hawa 5 ndio wenyewe hoja zenye mashiko ndani ya kipindi hiki Cha mwaka 2020
Waki'Comment au kuanzisha bandiko lazima utulize kichwa
Tunaanza na....Γ·
1. Mshana Jr
2. Kiranga
3. Behaviourist
4. BAK
5. TEAM 666
For my research
My Sweetheart Lenie ni nini sababu za kunitafutia kuvimba hapa mjini, nianze kuringa mpaka nisiombwe namba uishie kukosa Shem, unanitaka nini lakini.????+ My sis Carleen
Nyuzi zake zina hoja nzuri, namuelewaga vema
Yaani unatamani kuwa na taaluma ya mshana ? Au kuna kitu sijaelewaKwa upande wa elimu na technology wafuatao wananikosha hasa wakianza kudadavua na kutuelimisha kuhusu simu na computer na pale wanapobishana wanabishana kwa hoja;
Chief-Mkwawa
kcamp
hazole1
racka98
Mtwara Smart
Kwa upande wa mawazo ya biashara au katika jukwaa la biashara na ujasiliamari
Ninyi siwezi kuwasahau mkiongozwa na nguli wenu na nazani wengi wetu tunamkubali sana CONTROLA
CONTROLA
Wangari Maathai
Kingsman
@Behaviorist
Kwa upande wa ushawishi na uchakataji
ZIRO Q
Motivational speakers
ONTARIO
@mr kuku
Kwa upande wa elimu na afya
Mzizi mkavu
Sky Eclat
Kwa elimu ya anga yaani kufumba na kufumbua unafika sehemu husika, tembea kinyumenyume na vikao vya usiku
@ mshana jr
Kheri ya kristimas na mwaka mpya
Mungu awape afya njema, maisha marefu yenye baraka na neema tele. Pia mungu akawe mlinzi kwa kila hatua za maisha yenu
hazole1
kcamp
CHIEF MKWAWA
Natamani sana kua kama ninyi na nutuamai one day yes hitaji langu litatimia!
Thank you mkuu! I appreciate you π hadi garageππMerry Christmas from me to you and your family financial services , seriously unafanya nafurahia michango yako hapa jf, yani upo kila mahali hadi Garage [emoji23]
Oh pole ππ ila umekula pilau mwenyewe πSame to you mpendwa, ha ha unajua kuna ka draft kamejisevu sijamaliza kuandika, nikitaka kuandika inaniambia insert previous [emoji23][emoji23] ninaghairi tena
Toa TEAM 666 weka Sky.Moja kwa moja member kwenye mada member hawa 5 ndio wenyewe hoja zenye mashiko ndani ya kipindi hiki Cha mwaka 2020
Waki'Comment au kuanzisha bandiko lazima utulize kichwa
Tunaanza na....Γ·
1. Mshana Jr
2. Kiranga
3. Behaviourist
4. BAK
5. TEAM 666
For my research