VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
kwani ni lazima dr.slaa awe mbunge. Hivi hana kazi nyingine tofauti na za bunge na hasa hasa ndani ya chama chake.
Kwani ni lazima Dr.Slaa awe mbunge. Hivi hana kazi nyingine tofauti na za bunge na hasa hasa ndani ya chama chake.
Pamoja na kazi zingine but ingependeza sana kwa yeye pia kuwepo Mjengoni kuhakikisha maslai ya nchi hayachezewi na kuwakilisha sauti ya umma bila uoga. Nadhani bungeni panamfaa sana
Am not saying it will happen, but it can happen - Chenge kukutwa na hatia na kesi zake na jimbo la bariadi kuwa wazi, uchaguzi kurudiwa - Dr. kusimama kama mgombea bariadi - This will be the best thing to happen for our beloved country
Am not saying it will happen, but it can happen - Chenge kukutwa na hatia na kesi zake na jimbo la bariadi kuwa wazi, uchaguzi kurudiwa - Dr. kusimama kama mgombea bariadi - This will be the best thing to happen for our beloved country
Kwani ni lazima Dr.Slaa awe mbunge. Hivi hana kazi nyingine tofauti na za bunge na hasa hasa ndani ya chama chake.