Hi..jf pple..samahani naombeni msaada wenu...hivi ni course gani nzr kwa mm nnaetaka kusoma certfct?pia mm kama mm napenda kusomea mambo ya IT..bt cjafahamu vzr ni chuo kp kzr..tanx
Okanda N ure stupid man JF ni mahususi kwa ajili ya kupeana ushauri na habari!mdogo wako anapoomba ushauri ndo majibu yanayomfaa unayojibu Mode tutolee huyu okanda plz ni kichefuchefu!dogo nenda ucc university computing centre posta mpya crdb ghorofa ya mwisho utapata kila ishu pale!