Kenneth kache
Member
- Mar 7, 2014
- 38
- 5
Wana jamii nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana 2013,sasa dogo ana mashaka kuwa hawata mchagua kwenda form 5,mpaka sasa dogo yupoyupo tu! Amna cha pre form 5 wala nn!!
Na matokeo yake n kama ifuatavyo"!
Civics - C, History - D, Geography - C, English - B+, Kiswahili - B+, Chemistry - E, Biology - D, Basic maths - D.
Na ana div 3 point 27.
Hapo vp atachaguliwa kwenda form 5 mwaka huu 2014.? Na je n combination gan? Em naomba mni saidie wana jamii
Na matokeo yake n kama ifuatavyo"!
Civics - C, History - D, Geography - C, English - B+, Kiswahili - B+, Chemistry - E, Biology - D, Basic maths - D.
Na ana div 3 point 27.
Hapo vp atachaguliwa kwenda form 5 mwaka huu 2014.? Na je n combination gan? Em naomba mni saidie wana jamii