Best comedians wa Bongo (short clips)

Best comedians wa Bongo (short clips)

kaka-blaza

Member
Joined
Nov 7, 2019
Posts
96
Reaction score
141
wakuu naamini wengi wetu humu huwa tunafuatilia vichekesho vya youtube kule hasa kutoka kwa wachekeshaji wa bongo .

Mimi binafsi huwa napenda short clips yani vichekesho vifupi vifupi ambavyo mara nyingi huchukua dakika kati ya 3-10, au pengine vichache huenda hadi 15.

ila sasa najikuta nawajua comedians wachache sana wenye clips za namna hiyo.

kwangu mimi ambao huwa nawafuatilia ni
1- Joti kwenye JOTI TV yake
2- Steve Mweusi akiwa na kadogo kake kanaitwa sele
3- bigi-bigi

na kati ya hao, joti ni mkongwe ndio ila steve mweusi anafanya kisasa sana. naomba kama kuna comedian wengine wanaofanana na hao ambao siwafahamu mnitajie hapa ili nikaendelee kufurahisha moyo wangu huko. mnitajie majina ya akaunti zao za mjini youtube kule


LIFE IS TOO SHORT.
 
KiukweLi hyo list yako ndo kama yangu ila mm namuweka steve mweusi namba moja anakuja joti afu bigibigi mzee wa misheni kufeli 😁😁yaan jamaa ana harakat za pimbi
 
Wakina Stivu siwaelewi kabisa hakuna clip yao hata moja ambayo naweza kutoa hata asilimia 45
 
Wakina Stivu siwaelewi kabisa hakuna clip yao hata moja ambayo naweza kutoa hata asilimia 45
Stive mweusi kiukwelii bado ... sometyme anagusa sometyme anapoteana
 
Stive mweusi nikimwangalia tu yule jamaa hayuko serious!!![emoji38]

Afu akiongea Kama kaonewa anataka kulia hvi!!!
 
Mama Emma,

Kwenye standup namkubali Deogratius hasa na kile kichekesho chake cha mbele ya mademu.

Anakwambia hata Yesu alikuwa kapigwa kinoma kabebeshwa na msalaba, ila akina magdalena walipokuja na kuanza kumpa pole na kumlilia, akaona hawezi aibika mbele ya mademu akawambia mbona mimi fresh tu, jililie nyinyi na watoto wenu.

Ila baada ya kufika kwa wana akina petrol akaanza kulia petro nisaidie hawa mbwa wataniua.
 
Mama Emma,
Kwenye standup namkubali Deogratius hasa na kile kichekesho chake cha mbele ya mademu.
Anakwambia hata Yesu alikuwa kapigwa kinoma kabebeshwa na msalaba, ila akina magdalena walipokuja na kuanza kumpa pole na kumlilia, akaona hawezi aibika mbele ya mademu akawambia mbona mimi fresh tu, jililie nyinyi na watoto wenu. Ila baada ya kufika kwa wana akina petrol akaanza kulia petro nisaidie hawa mbwa wataniua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dulvan
Pungasese
Mama Debora

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom