Una uwezo;wa kudhibiti hasira zako? Gun can be very dangerous kama huna control na hasira , mawili ikuue au uende jela kwa kuua .Hizi manati za kizungu ni muhimu sana kumiliki hasa nyakati kama hizi binadamu wamejaa husuda..
Bereta nafikiri unaweza kupata Tanganyika arms, hiyo Glock 17 sijawahi iona kwa bongoIvi napata vipi mzigo kama glock 17 au berreta pamoja na ile filter ya sound anaejua bei
Desert eagle ni ya Myahudi/Mwebrania/mwisraelKwenye hivi vitu, nipatie yoyote ya Muisrael,
Tatizo wateja hawafiki beiPale Tanganyika Arms wale wazee wanauza vitu vya hovyo sana
Mzinga nao hovyo afu bei kubwa
Ukiagiza napo inakuwa kero
So?Desert eagle ni ya Myahudi/Mwebrania/mwisrael
Kihere here chako tu.
Uko sahihi..Una uwezo;wa kudhibiti hasira zako? Gun can be very dangerous kama huna control na hasira , mawili ikuue au uende jela kwa kuua .
Sheria za silaha pia hapa kwetu ni kama vile bunduki ndo inatakiwa kulindwa ,sio wewe ulindwe na bunduki!!
Kihere here chako tu.
Nilimjibu aliyeuliza sijakuita wewe
Tanganyika Arms wana bei kubwa mno, Barreta 92 wanauza 3mil na zaidiTatizo wateja hawafiki bei
Bastola ya nini sasa kama kuitumia ni ishu? Bora tusiwe nazo tu maana unaona kabisa mwana CCM anazingua ila kumpiga hata ya shingo huwezi utazuiwa πππTanganyika Arms wana bei kubwa mno, Barreta 92 wanauza 3mil na zaidi
Hadi upate chuma utajikuta umetumia 5mil
Wakati bastola yenyewe haifiki hata dollar 500
Hahahah we unabisha wakati Putin ndio kamtumia jamaa yake akafanye kama anavyofanyaga kwenye maabara yake ya silahaHakuna HIMARS iliyokamatwa wala kuharibiwa kwahiyo hakuna cha kupeleka. Iran iliwahi kuwa na access ya anti tank guided missile from NATO ila sikumbuki kama ni Javelin, hapo imeongezewa na Urusi kachukua na China anaweza pewa.
Vilevile Iran ina access na Kornet ya Urusi na imetoa kopi huwa inawapa Yemen. Silaha za Iran nyingi zinazofanyiwa smuggling hukamatwa ghuba ya Uajemi zikiingia Yemen, nyingine Israel huzilipua zikiwa Syria zinaenda kwa Hezbollah na Hamas.
HIMARS truck haitumwi kwenye bahasha. Unless ukiamua kutumia ushabiki ila kiuhalisia hakuna HIMARS iliyokamatwaHahahah we unabisha wakati Putin ndio kamtumia jamaa yake akafanye kama anavyofanyaga kwenye maabara yake ya silaha
Ina umuhimu wake ikitokea lakutokea, ndo maana kwenye zile Form 4 utajaza Kujilinda wewe na mali zako.B
Bastola ya nini sasa kama kuitumia ni ishu? Bora tusiwe nazo tu maana unaona kabisa mwana CCM anazingua ila kumpiga hata ya shingo huwezi utazuiwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Silaha yoyote ile ikikamatwa lazima aliyeikamata au iteketeza ataonesha tu.HIMARS truck haitumwi kwenye bahasha. Unless ukiamua kutumia ushabiki ila kiuhalisia hakuna HIMARS iliyokamatwa