BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hivi vitu vya kukopi unavitoa kichwani mwako au una ushaidi navyo?Unanshangaza eti langa alikua anajisifia hv umeshasikiliza ngoma km am supplying, rafiki wa kwel,na kifo jela Au taasisi, Huyu jamaa labda ulikuwa unamsikiliza kwa mawenge n moja Kati ya mc mkali sana... Huyo mzee wa kukopy mbona Ye mwenyewe anatambua uwezo wa langa
Toa facts Mkuu.Jamaa alikwambia ukweli ni kua,we kweli mwanazuoni mgeni
Mkuu Tatizo u meanza kuskiliza mziki miaka ya 2000 wakati wenzio tangu miaka ya 90 . Nyuma ya lyrics za Fid q kuna lines za watu waliofanya game kitamboHivi vitu vya kukopi unavitoa kichwani mwako au una ushaidi navyo?
Hapo JOH makini, fa na ulamaa ndo wameharibu listHii ndio list sasa
Ni kweli nimeanza kusikiliza miaka ya 2000 means kuna mengi siyajui kuhusu hip hop wewe mwenzangu uliyeanza kusikiliza hip hop toka miaka 90 naomba niletee mifano halisi inaonyesha kuwa mwamba Fid Q anacopy..Mkuu Tatizo u meanza kuskiliza mziki miaka ya 2000 wakati wenzio tangu miaka ya 90 . Nyuma ya lyrics za Fid q kuna lines za watu waliofanya game kitambo
Sugu n mc wa kawaida sana, Ila anapewa heshima km mkongwe + kuwa na santuri nyingi sokoni ndo msanii pekee mwenye santuri nyingiSugu Jongwe Mr 2 lazima apewe heshima yke km namba moja hlf ndio wafate hao wengine
kivyovyote lazma sugu ndani
Ni kweli nimeanza kusikiliza miaka ya 2000 means kuna mengi siyajui kuhusu hip hop wewe mwenzangu uliyeanza kusikiliza hip hop toka miaka 90 naomba niletee mifano halisi inaonyesha kuwa mwamba Fid Q anacopy..
Cheza na Hiyo linkFid Q : The King of Plagiarism of all the time
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake. Mfano kwenye wimbo mmoja...www.jamiiforums.com
Umeaminishwa na wewe ukaamini mfano Leo nikitunga wimbo lakini kwenye mashairi yangu ukakuta maneno "asiyefunza na wazazi atafunza na ulimwengu" ntaonekana nimekopi? Hiyo kitu inafanywa na wasanii wengi include hiphop na bongoflava. doesnt kill you make you stronger LANGA ali rap Kisichoniua kitanikomaza kiaskari.Fid Q : The King of Plagiarism of all the time
Hakuna kazi rahisi kama kufanya muziki anao ufanya Fid Q. Anacho kifanya Fid Q ni kutafuta best quotes kuhusu mada anayo taka kuiandikia wimbo au kusoma kitabu halafu akipata wazo zuri ndani ya kitabu hicho anacho kifanya ni kulitafsiri na kulifanya kama wazo lake. Mfano kwenye wimbo mmoja...www.jamiiforums.com
Acha siasa tupe hapa maana ya mckuna tofauti kati ya mc na rapper...profesa j hawezi kuwa mc,wala j mo wala chid benzi.mangwea ni mc.mpaka ujue mc ni nani ndo utajua
Acha siasa mkuu...Umeaminishwa na wewe ukaamini mfano Leo nikitunga wimbo lakini kwenye mashairi yangu ukakuta maneno "asiyefunza na wazazi atafunza na ulimwengu" ntaonekana nimekopi? Hiyo kitu inafanywa na wasanii wengi include hiphop na bongoflava. doesnt kill you make you stronger LANGA ali rap Kisichoniua kitanikomaza kiaskari.
Kama muelewa utakuwa umenielewa.
Nala Mzalendo aka Diego Naladona! Anajua sana huyu jamaa aiseeUpcoming
Dizasta vinna
Nala mzalendo
Boshoo ninja
Kinya wa mistari
Maarifa (big thinker)
Bando mc
Anajiita mtu mfupi mwenye mistari mirefuNala Mzalendo aka Diego Naladona! Anajua sana huyu jamaa aisee
Duh unafurahisha mno.eti sugu ni mc wa kawaida sana.halafu hapohapo mara country boy mpaka lipstick nae ni mc mkali.Sugu n mc wa kawaida sana, Ila anapewa heshima km mkongwe + kuwa na santuri nyingi sokoni ndo msanii pekee mwenye santuri nyingi
Duh unafurahisha mno.eti sugu ni mc wa kawaida sana.halafu hapohapo mara country boy mpaka lipstick nae ni mc mkali.
WTF!!
tuwekee list yako hapa acha kuruka viunziacha kubishana na toto la juzi shamba hili utaumiza kichwa chako mkuu...
anamponda sugu na solo ulamaa alafu anamsifia country boy siupumbavu huo
Namba 4 hapo mstari ulionukuu wa LANGA KILEO MKOMBOZI WA HIP HOP, RAIS WA GHETTO uko hivi," Wananichekea usoni kisogoni wananisema, wanatafuta mabaya wanajifanya hawaoni mema." Ngoma ilikua ya FID Q X PROF J X LANGA- NI HAYO TU.G.morning everyone,
Me ni big fan wa hip-hop ya bongo, na katika research nlioifanya hii ndo list yangu ya MA mc bora wa muda wote waliowahi kutokea hapa Tanzania
1) Professor j,
Huyu jamaa anabaki kuwa no 1 kwa muda wote kutokana na uwezo wake binafsi wa Utunzi wa mashairi na uwezo wa kuandika na kusimamia kwenye Mada anayoielezea tofauti na MA mc wengine Ambao Unakuta jina LA nyimbo na maudhui ya nyimbo yanalandana, pia n mc pekee mwenye nyimbo nyingi Kali zilizogusa mashabiki wa kila Aina na ni moja ya inspirations kwa new upcoming hip-hop artists
Naweza kumuita God father wa bongo, ktk industry ya music.
2) Albert mangwea & j. Moe
Hawa jamaa kwangu wanashika no 2 kwa pa1 coz wana uwezo ambao almost unalingana, ukiangalia nyimbo km kimya kimya, kimafia. N
K waliofanya colabo Wote utagundua uwezo wao n km unafanana, achilia mbal uwezo wa ngwair kwenye free Style.. Na Utunzi wa j.moe akiwa anaelezea story. Wanabaki kuwa best rappers wa muda wote.
3) Chidibenz
Huyu mfalme wa Ilala ni mc hatari Sana,ana vocal na michano mikali sana na pia ana uwezo Mkubwa sana kwenye performance, wengi mnakumbuka enzi zake kwenye kila collabo alikua anakimbiza, Huyu km angepata manager mzur, na angepunguza kiburi jamaa Angekua Mbal sana, kwa Mimi nampa no 3 kwa ubora wake.
4) Langa & Fid q
Hawa jamaa kwa pa1 nawapa nafasi ya nne, Fid q anauwezo Mkubwa wa kuandika vitu ambavyo viko deep sana na km n mtu unayesikiliza juu juu pengine unaweza usione Au usielewe kabisa ubora wake, Langa alikua na uwezo Mkubwa sana wa ku spit kingereza na kiswahili Hakua na mistari konde Ila alikua anaandika vitu deep sana, kwa mtazamo wangu Langa na fid q wanauwezo unaofanana tofauti n kuwa Langa mpaka anatutoka Hakuwa na project nyingi lakini ukisikiliza nyimbo zake utatambua uwezo wake, my favorite line ya Huyu jamaa ni (hawanichekei usoni kisogoni wananisema wanatafuta mabaya wanajifanya Hawaoni mema).
5) Nikki mbishi (Baba Malcom)
Huyu jamaa ni mkali sana kwenye uandishi na flow anauwezo Mkubwa wa ku free style, ana punch za maana na ngoma ambazo n classic, changamoto nnayoiona kwa Huyu jamaa ni ana km kiburi flan Hv ana attitudes za ajabu ajabu km kudis wanasanii wenzake na ujuaji mwingi.. Ila ni mc hatar sana
Apart from hao top five pia wapo Mc's wengine wakali km stereo, one the incredible, Godzilla, p the mc country boy, na wengine wanaofanya vizuri
Kindly regards
Dagger-v