Unaweza kufikia Mwitongo, Malagalasi, Lake Tanganyika, Hill top, Aqua etc. Kuna hoteli na lodges nzuri ni pesa yako tu.
Sehemu za kutembelea unaweza kwenda
1. Gombe
2. Mahale
3. Dr. David Livingston makumbusho
4. Mwisho wa reli (ulipoishia reli)
5. Manyovu mpakani mwa Tanzania na Burundi
6. Kibirizi ukajionee soko la dagaa kigoma
7. Ujiji mji mkongwe wa Kigoma
8. Kagera Ujiji ukajionee miti ya maembe yalivyojipanga ambayo yalipandwa na watumwa wakati wakisafirishwa kuelekea Bagamoyo
9. Beach mbalimbali za mkoa wa Kigoma