Best roads in Africa

Siku nyingine mkitaka kujisifia mtumie picha za vitu vya kueleweka, kama hivi hapa. Sio hizo barabara ambazo zimeparara alafu mnatuambia eti 'best in africa'.
Ww utakua hujajua nini inachomaanisha sera ya TZ ngoja nikusaidie, sisi kipao mbele chetu sio miundo mbinu ya maonyesho , lengo kuu kuunganisha mikoa ili miundo mbinu iwe na faida kwa mfano :mtu akilima mazao iwe laisi kuyafikisha soko lolote kwa bai nafuu sio unakuwa na miundo mbinu ya maonyesho wakati mikoani hakuna munganiko inamaana gani sasa?
 
Nikajua umeleta credible source kumbe ni utenzi wako binafsi? πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Single lane surface dressing zinakuweje best and quality? Those are Ldc low quality type roads
 
Kama sio ujinga wa hao jamaa ni nini,Tanroads network ni 35,000km wakati less than 9000km ziko tarmacked wakati Tarura ni zaidi ya 135,000km only less than 1500 km ziko tarmacked eti ndio unaweka billboard kujisifu huo ni ukichaa
 
Acha uongo kutoka Dar to kigoma lami imeishia tabora,Katavi hakuna lami zaidi ya vipisi etc etc
 
machokoraa wa kikenya wanataka mapicha ya photographer yale ya filter,,
kwa ufupi tu wakae wakijua hizo ni picha za simu tu tena simu ambazo hazina quality nzuti ya camera..
 
akili ya huyo jamaa ni yakimaskini sana ila ukitaka kuwauwa wakenya kwa ujinga wao ni hapo tu ,,wajengee nyumba ya udongo kisha wapakie rangi kisha nakshi nakshi na uwaambie kuwa hiyo ni nyumba ya matofali huwa wanakubali [emoji23][emoji23]
 
Kwahivyo barabara za Kenya ni za maonyesho? Hahaha! πŸ˜€ Nice joke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…