Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kuna kipaji cha kusimulia.... Kuna majamaa wanajua kusimulia.kwa kizungu wanaitwa story teller. Hawa jamaa mnaweza mkaona tukio pamoja mwanzo mwisho ila ukamkuta anasimulia sehemu ukapenda kumsikiliza.
Hawa jamaa wana maneno kuntu, wana udambwi dambwi mwingi,pasi na chenga za kutosha.
Yupo GuDume kwa stories aina zote.huyu jamaa hata akiongelea siasa unaweza dhani ni story ni chai ni fix.akizungumzia mademu na mikasi unaweza pata hata hamu ya kusex. Akisumulia kwenye intelejensia unaweza dhani unaona movie live.ana kipaji.
Yupo mzee wa kale Bujibuji huyu akisimulia hbr za miaka ile utadhani mwkaa 1910 alikuwepo...ana kumbukumbu zake nyingine za miaka hata hajazaliwa.. Ha ha ha... Mhenga kijana.
Kina kantalamba huyu jamaa kwa stories za wanamuziki unaweza amini naye alishiriki miaka hiyo.sifahamu kama aliwahi kuwa mwimbaji au laaah lakini anajua sana kusimulia muziki na wanamuziki
Nyani Ngabu jamaa naye ana stories flani hivi sometime anazitoa vizuri sana.
Mimi nina mkasa ambao nataka kumsimulia gudume asimulie kwa faida ya wengi. Tupatie watu wengine story tellers wazuri
Hawa jamaa wana maneno kuntu, wana udambwi dambwi mwingi,pasi na chenga za kutosha.
Yupo GuDume kwa stories aina zote.huyu jamaa hata akiongelea siasa unaweza dhani ni story ni chai ni fix.akizungumzia mademu na mikasi unaweza pata hata hamu ya kusex. Akisumulia kwenye intelejensia unaweza dhani unaona movie live.ana kipaji.
Yupo mzee wa kale Bujibuji huyu akisimulia hbr za miaka ile utadhani mwkaa 1910 alikuwepo...ana kumbukumbu zake nyingine za miaka hata hajazaliwa.. Ha ha ha... Mhenga kijana.
Kina kantalamba huyu jamaa kwa stories za wanamuziki unaweza amini naye alishiriki miaka hiyo.sifahamu kama aliwahi kuwa mwimbaji au laaah lakini anajua sana kusimulia muziki na wanamuziki
Nyani Ngabu jamaa naye ana stories flani hivi sometime anazitoa vizuri sana.
Mimi nina mkasa ambao nataka kumsimulia gudume asimulie kwa faida ya wengi. Tupatie watu wengine story tellers wazuri