Best Tanzanian Artist kwa sasa

Best Tanzanian Artist kwa sasa

Dansel

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
249
Reaction score
59
Nikiwa kama mdau, ambae nimeanza ufatilia mziki wetu kwa muda mrefu sasa. Nanimekua mshabiki wa wasanii wengi toka game ya Bongo inaanza kolea mwaka 2001, No dhahiri na wazi kwa sasa hakuna msanii kama Harmonize.

Yaani kwa wapenzi wa mziki nadhani mshaelewa no one do the best, and good in EA kama ye.. maana nyimbo za bwana Yooo... na Kichwa Box Bwana Domo haieleweki anaimba nini sasa.
 
Jamaa anajitahidi sana halafu ana roho ya shukrani haachi kumtaja D kwenye mafanikio yake.Najua na Dimomd nae hana shida sema uongozi wake ndo wazee wa fitna
 
Mzee wa I go die naona unajipa promo.
 
Kabisaaaaah, Konde Yuko on [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Don Nalimison is coming to take the throne.

Anamalizia album yake ya kwanza ambayo inatarajiwa kuvunja records za mauzo, we expect it to do a Double Platnum.
 
Back
Top Bottom