kwakweli hata kama mambo yamebana sana na walio wengi hawajui course work zao hadi leo ijumaa na jumatatu Ue ianze,ni wakati ambapo kila mmoja anayeguswa kuomba kwaajili ya jambo hili afanye hivyo,maana kuna hali fulan ya sintofahamu iliyotanda hapa. But, ninachoamin Mungu atabaki kuwa Mungu.