mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
DIAMOND huyooooo wenye chuki zenu tutawazikaa mwaka huuuuu
leo ishu ya kuimba show za sebuleni umeiacha?? umegeukia kwenye mic, chuki ugonjwa mbaya sana.Hivi bado anapiga show kwa kupumulia mic?? Au ameshaimprove??
Ila umemuona binamu.
Nimemuonaa nna rahaje
Yaan hua akiwepo warumi anawabana looo
Yaani wana wivu wa kijinga, apa tu silipwi mshahara ila wakiniona roho zinavyowatoka, nadhan ningekuwa nalipwa wangeniua kabisa humu, na watajibeba wakanywe tindikali kama nawaboa, na mimi nipo humu miaka mia, sina likizo wala break, likizo yangu ni ban tu
Hhhhhaaaa miaka mia wapasuke wavimbe ni wao wafungue forum yao tusikanyage,tutabanana humu humu
Nimejaa nipo humu sana tu na nitazeekea humu humu, uzuri wa jamii forum ata ukiwa ulaya umbea kama kawa unapata, so wajipange tu nipo sana humu,
Hhhhhaaaaa binamu nawe maugomvi yaninii khaa,pole umeumia mno au,ina maana nguvu uliziacha home au ulimsamehe ulikua hujala tu
Hhhhaaaaaaaa lo
Kifo tu kitantenga na jamii forum sio maneno ya wakina paukwa
wakuache best angu miaka miaYaani wana wivu wa kijinga, apa tu silipwi mshahara ila wakiniona roho zinavyowatoka, nadhan ningekuwa nalipwa wangeniua kabisa humu, na watajibeba wakanywe tindikali kama nawaboa, na mimi nipo humu miaka mia, sina likizo wala break, likizo yangu ni ban tu